Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.
אשר חפצו שיושעו כל בני האדם ויגיעו להכרת האמת׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
hapo watu wakamjibu, "una wazimu wewe! nani anataka kukuua?"
ויען העם ויאמר שד בקרבך מי מבקש להרגך׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mungu anataka ninyi muwe watakatifu na mjiepushe kabisa na maisha ya zinaa.
כי רצון האלהים היא קדשתכם אשר תתרחקו מן הזנות׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
maana mungu anataka mweze kuyakomesha maneno ya kijinga ya watu wasio na akili kwa matendo mema mnayofanya.
כי כן הוא חפץ אלהים אשר בעשותכם הטוב תסכרו את פי אולת האנשים אשר אין בם דעת׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
maana kama mnavumilia maumivu ya mateso msiyostahili kwa sababu mwajua kwamba mungu anataka hivyo, basi mungu atawafadhili.
כי חסד הוא לאיש אם ישבע ממררים ויענה חנם למען דעת האלהים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mtu hafanyi mambo kwa siri kama anataka kujulikana kwa watu. maadam unafanya mambo haya, basi, jidhihirishe kwa ulimwengu."
כי לא יעשה איש דבר בסתר והוא חפץ להתפרסם לכן אם אתה עשה כאלה הגלה אל העולם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kama mtu anataka kuleta ubishi juu ya jambo hili, basi, na ajue kwamba sisi hatuna desturi nyingine, wala makanisa ya mungu hayana desturi nyingine.
ואם יחשב איש לערער עלינו אין לנו מנהג כזה ולא לקהלות האלהים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha yesu akawaambia wanafunzi wake, "kama mtu yeyote anataka kuwa mfuasi wangu, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
ויאמר ישוע אל תלמידיו איש כי יחפץ ללכת אחרי יכחש בנפשו ונשא את צלבו והלך אחרי׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wakati huohuo, mafarisayo na watu wengine walimwendea yesu wakamwambia, "ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana herode anataka kukuua."
ביום ההוא נגשו מן הפרושים ויאמרו אליו צא ולך מזה כי הורדוס מבקש להרגך׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kisha akasema, "baba yangu ameweka yote mikononi mwangu. hakuna amjuaye mwana ni nani ila baba, wala amjuaye baba ni nani ila mwana, na yeyote yule ambaye mwana anataka kumfunulia hayo."
הכל נמסר לי מאת אבי ואין יודע מי הוא הבן בלתי האב ומי הוא האב בלתי הבן ואשר יחפץ הבן לגלותו לו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting