Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yesu akajibu, "atakayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.
ויען ויאמר האיש אשר טבל עמי את ידו בקערה הוא ימסרני׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
malaika wa tatu akamwaga bakuli lake katika mito na chemchemi za maji, navyo vikageuka damu.
וישפך השלישי את קערתו בנהרות ובמעינות המים ויהיו לדם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha akatia maji katika bakuli, akaanza kuwaosha wanafunzi wake miguu na kuipangusa kwa kile kitambaa alichojifungia.
ואחר יצק מים בכיור ויחל לרחץ את רגלי תלמידיו ולנגב במטפחת אשר הוא חגור בה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akawaambia, "ni mmoja wenu ninyi kumi na wawili, anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli.
ויען ויאמר אליהם אחד משנים העשר הוא הטבל עמי בקערה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kisha malaika wa pili akamwaga bakuli lake baharini. nayo bahari ikawa damu tupu kama damu ya mtu aliyekufa, na viumbe vyote hai baharini vikafa.
וישפך השני את קערתו על הים ויהי לדם כדם חלל ותמת כל נפש חיה אשר בים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa uitwao eufrate. maji yake yakakauka, na hivyo njia ilitengenezwa kwa ajili ya wafalme wa mashariki.
וישפך הששי את קערתו על הנהר הגדול נהר פרת ויחרבו מימיו למען תישר מסלה למלכים אשר ממזרח שמש׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, malaika wa kwanza akaenda akamwaga bakuli lake juu ya nchi. mara madonda mabaya na ya kuumiza sana yakawapata wote waliokuwa na alama ya yule mnyama, na wale walioiabudu sanamu yake.
וילך הראשון וישפך את קערתו על הארץ ויהי שהין רע ומכאיב באנשים אשר עליהם תו החיה ובמשתחוים לצלמה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha malaika wa saba akamwaga bakuli lake hewani. sauti kubwa ikasikika kutoka kwenye kiti cha enzi, hekaluni, ikisema, "mwisho umefika!"
וישפך המלאך השביעי את קערתו על האור ויצא קול גדול מהיכל השמים מן הכסא ויאמר היה נהיתה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mara tu alipokwisha twaa hicho kitabu, vile viumbe hai vinne pamoja na wale wazee ishirini na wanne walianguka kifudifudi mbele ya mwanakondoo. kila mmoja, alikuwa na kinubi na bakuli za dhahabu zilizojaa ubani, ambao ni sala za watu wa mungu.
ויהי בקחתו את הספר ויפלו לפני השה ארבע החיות ועשרים וארבעה הזקנים ואיש איש כנור בידו וקערות זהב מלאת קטרת אשר הנה תפלות הקדושים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: