From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
na tukisema yalitoka kwa binadamu, watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba yohane alikuwa nabii."
ואם נאמר מבני אדם וסקלנו כל העם בעמדם על דעתם כי יוחנן נביא היה׃
yesu akasema, "heri wewe simoni mwana wa yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia ukweli huu, ila baba yangu aliye mbinguni.
ויען ויאמר אליו אשריך שמעון בר יונה כי בשר ודם לא גלה לך את זאת כי אם אבי שבשמים׃
kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
לכן כאשר על ידי אדם אחד בא החטא לעולם והמות בעקב החטא וכן עבר המות על כל בני אדם מפני אשר כלם חטאו׃
kama maandiko yasemavyo: "kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. nyasi hunyauka na maua huanguka.
כי כל בשר חציר וכל כבוד איש כציץ השדה יבש חציר נבל ציץ׃
yesu akawatazama, akawaambia, "kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa mungu si hivyo, maana kwa mungu mambo yote huwezekana."
ויבט בם ישוע ויאמר מבני אדם תפלא זאת אך לא מאלהים כי מאלהים לא יפלא כל דבר׃
majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
עדין לא בא עליכם נסיון אחר בלתי אם נסיון בני אדם כי נאמן הוא האלהים אשר לא יניח לנסות אתכם למעלה מיכלתכם כי אם יתן עם הנסיון גם תוצאתיו כדי שתוכלו שאת׃
kama mnaitimiza ile sheria ya utawala kama ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu: "mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
הן בקימכם את המצוה המלכת על כלן כפי הכתוב ואהבת לרעך כמוך תיטיבו לעשות׃
sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha mungu? au je, nataka kuwapendeza watu? kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa kristo.
ועתה המתרצה אנכי אל בני אדם אם אל האלהים או המבקש אנכי למצא חן בעיני בני אדם כי במצאי חן בעיני בני אדם לא אהיה עוד עבד המשיח׃
lakini, ni kama yasemavyo maandiko matakatifu: "mambo ambayo jicho halijapata kuyaona wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo mungu aliyowatayarishia wale wampendao."
אלא ככתוב אשר עין לא ראתה ואזן לא שמעה ולא עלה על לב אנוש את אשר הכין האלהים לאהביו׃