Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
wape maagizo hayo na mafundisho hayo.
את זאת תצוה ותלמד׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi.
ואתה דבר את הנאה ללקח הבריא׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ule umati wa watu uliposikia hivyo ukayastaajabia mafundisho yake.
וישמע המון העם וישתומממו על תורתו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, kuhani akamwuliza yesu juu ya wanafunzi wake na mafundisho yake.
וישאל הכהן הגדול את ישוע על תלמידיו ועל לקחו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mafundisho yote ya manabii na sheria yalibashiri juu ya nyakati hizi.
כי כל הנביאים והתורה עדי יוחנן נבאו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,
וילמדם הרבה במשלים ויאמר אליהם בלמדו אתם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
vivyo hivyo, wako pia miongoni mwenu watu wanaofuata mafundisho ya wanikolai.
כן נמצאו גם בך אנשים דבקים בתורת הניקלסיים אשר שנאתי׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
hapo yesu akawajibu, "mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.
ויען אתם ישוע ויאמר לקחי לא שלי הוא כי אם לאשר שלחני׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
nanyi akina baba, msiwachukize watoto wenu ila waleeni katika nidhamu na mafundisho ya kikristo.
ואתם האבות אל תכעיסו את בניכם אך גדלום במוסר אדנינו ובתוכחתו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, ndugu, simameni imara na zingatieni yale mafundisho tuliyowafundisheni kwa mahubiri yetu na barua zetu.
לכן אחי עמדו והחזיקו בקבלות אשר למדתם אם בדברנו אם באגרתנו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
watumwa wote wanapaswa kuwaheshimu wakuu wao ili kusiwe na sababu ya watu kulitukana jina la mungu na mafundisho yetu.
כל אשר הם תחת על העבדות יחשבו את אדניהם ראוים לכל כבוד למען לא יחלל שם האלהים והלקח׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! ndivyo mnavyodharau neno la mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.
ותפרו את דבר האלהים בעבור קבלתכם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
najua kwamba ninyi ni wazawa wa abrahamu. hata hivyo, mnataka kuniua kwa sababu hamuyakubali mafundisho yangu.
ידעתי כי זרע אברהם אתם אבל אתם מבקשים להמיתני כי דברי לא יכן בתוככם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
shika kwa makini mafundisho yale ya kweli niliyokufundisha, na kubaki katika hiyo imani na huo upendo wetu katika kuungana na kristo yesu.
החזק בתכונת הדברים הבריאים אשר שמעת ממני באמונה ובאהבה אשר במשיח ישוע׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
vumilieni adhabu kwani ni mafundisho; mungu huwatendea ninyi kama wanawe. maana ni mwana gani asiyeadhibiwa na baba yake?
אם סבלים אתם מוסר דעו כי כאב עם בניו כן מתנהג אלהים עמכם כי איה הבן אשר אביו לא ייסרנו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ni lazima ashike kikamilifu ujumbe ule wa kuaminika kama unavyofundishwa. ndivyo atakavyoweza kuwatia wengine moyo kwa mafundisho ya kweli na kuyafichua makosa ya wale wanaoyapinga mafundisho hayo.
ומחזיק בדבר הנאמן כפי ההוראה למען יהיה בכחו להזהיר בלקח הבריא ולהוכיח את המריבים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ingawa mlikuwa watumwa wa dhambi zamani, sasa lakini--namshukuru mungu--mmetii kwa moyo wote yale maazimio na mafundisho mliyopokea.
אבל תודת לאלהים כי הייתם עבדי החטא ואחר שמעתם בכל לבבכם אל תכונת הלקח אשר נמסרתם לו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
sasa mngalipaswa kuwa tayari walimu, lakini mnahitaji bado mtu wa kuwafundisheni mafundisho ya mwanzo ya ujumbe wa mungu. badala ya kula chakula kigumu, mnapaswa bado kunywa maziwa.
כי תחת אשר היה ראוי לכם לפי ארך הזמן להיות מלמדים עתה מן הצרך לשוב וללמד אתכם עקרי ראשית דברי אלהים ונצרכתם לחלב ולא למאכל בריא׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
"lakini ninyi wengine mlioko huko thuatira ambao hamfuati mafundisho yake yezabeli, na ambao hamkujifunza kile wanachokiita siri ya shetani, nawaambieni kwamba sitawapeni mzigo mwingine.
אבל אמר אני לכם ולשאר הנמצאים בתיאטירא כל אשר אין להם הלקח ההוא ולא ידעו את עמקות השטן כאשר הם מתהללים לא אשים עליכם משא אחר׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
lakini wao wakasisitiza wakisema: "anawachochea watu kwa mafundisho yake katika nchi yote ya yudea; alianza galilaya, na sasa yuko hapa."
והם התאמצו לדבר מדיח הוא את העם בלמדו בכל יהודה החל מן הגליל ועד הנה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting