From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kama, basi demetrio na wafanyakazi wake wana mashtaka yao kuhusu watu hawa, yapo mahakama na wakuu wa mikoa; wanaweza kushtakiana huko.
לכן אם לדמטריוס ולחרשים אשר אתו דבר ריב עם איש הנה לנו ימי בית דין ושרי המדינה ויביאו אליהם את ריבם׃
nao wote wakamkamata sosthene ambaye alikuwa kiongozi wa sunagogi, wakampiga palepale mbele ya mahakama. lakini galio hakujali kitendo hicho hata kidogo.
ויאחזו כל היונים את סוסתנים ראש הכנסת ויכוהו לפני כסא המשפט וגליון לא שת לבו גם לזאת׃
paulo akajibu, "nasimama mbele ya mahakama ya kaisari na papa hapa ndipo ninapopaswa kupewa hukumu. kama unavyojua vizuri, sikuwatendea wayahudi ubaya wowote.
ויאמר פולוס לפני כסא משפט הקיסר אני עמד ושם נכון לי להשפט לא הרעתי ליהודים כאשר ידעת היטב גם אתה׃