Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.
לא יצעק ולא ישא ולא ישמע בחוץ קולו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
epuka ubishi wa kijinga na kipumbavu; wajua kwamba hayo huleta magomvi.
ותרחק מן השאלות התפלות באין מוסר באשר תדע כי אך קטטה מולידות הנה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kulitokea ubishi kati ya hao mitume kuhusu nani miongoni mwao anayefikiriwa kuwa mkuu zaidi kuliko wengine.
וגם מריבה היתה ביניהם מי יחשב להיות הגדול בהם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ubishi ulitokea kati ya baadhi ya wanafunzi wa yohane na myahudi mmoja kuhusu desturi za kutawadha.
ויהי ריב בין תלמידי יוחנן ובין היהודים על דבר הטהרה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
watu wanapoapa, huapa kwa mmoja aliye mkuu zaidi kuliko wao, na kiapo hicho husuluhisha ubishi wote.
בני האדם ישבעו בגדול מהם והשבועה להם קץ כל ערעור לקיום הדבר׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini jiepushe na ubishi wa kipumbavu, ugomvi na mabishano juu ya sheria. mambo hayo hayana faida yoyote na ni ya bure tu.
אבל תרחק מן השאלות התפלות ומלמודי תולדות ומן הקטטות ומחלקות בעניני החקים כי אין בהן מועיל והבל הנה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi.
לכן רצוני שיתפללו האנשים בכל מקום וישאו ידיהם קדש בלי כעס ומדון׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kama mtu anataka kuleta ubishi juu ya jambo hili, basi, na ajue kwamba sisi hatuna desturi nyingine, wala makanisa ya mungu hayana desturi nyingine.
ואם יחשב איש לערער עלינו אין לנו מנהג כזה ולא לקהלות האלהים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, usiiharibu kazi ya mungu kwa sababu ya ubishi juu ya chakula. vyakula vyote ni halali, lakini haifai kula chakula ambacho kitamfanya mtu aanguke katika dhambi.
אל תהרוס את מעשה אלהים על דבר מאכל הן הכל טהור הוא אבל רע לאדם אשר יאכלנו במכשל לבו׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya paulo na barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa paulo na barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la antiokia waende yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
ויהי על זאת ריב ומחלקת לא קלה לפולוס ולבר נבא עמהם ויגזרו כי פולוס ובר נבא ואחרים מהם יעלו ירושלים אל השליחים והזקנים על אדות השאלה הזאת׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
timotheo, tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. jiepushe na majadiliano ya kidunia na ubishi wa kipumbavu juu ya kile wanachokiita watu wengine: "elimu".
אתה טימותיוס שמר את הפקדון והתרחק מדברי הבל הפסולים ומן וכוחי המדע הנקרא כן בשקר׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
naogopa, huenda nitakapokuja kwenu nitawakuta katika hali nisiyopenda, nami itanilazimu kuwa katika hali msiyoipenda. naogopa huenda kukawa na ugomvi, wivu, uhasama, ubishi, masengenyano, kunong'ona, majivuno na fujo kati yenu.
כי ירא אנכי פן בבאי לא אמצא אתכם כאשר חפצתי ואתם גם אתם לא תמצאו אתי כאשר חפצתם פן יהיה בכם מצה וקנאה ורגז ומריבות ודבה רעה ורכילות וגאות ומבוכה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: