Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
na kama hamjakuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?
ואם בדבר אשר לאחרים לא הייתם נאמנים את אשר לכם מי יתן לכם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
tukikosa kuwa waaminifu, yeye hubaki mwaminifu daima, maana yeye hawezi kujikana mwenyewe."
אם לא נאמין הנה הוא קים באמונתו כי לכחש בעצמו לא יוכל׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kama basi, ninyi si hamjawa waaminifu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli?
לכן אם בממון העולה לא הייתם נאמנים את האמתי מי יפקיד בידכם׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini itakuwaje iwapo baadhi yao hawakuwa waaminifu? je, jambo hilo litaondoa uaminifu wa mungu?
כי מה הוא אם מקצתם לא האמינו היבטל חסרון אמונתם את אמונת אלהים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
tunawaandikia ninyi watu wa mungu huko kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana na kristo. tunawatakieni neema na amani kutoka kwa mungu baba yetu.
אל הקדשים והאחים הנאמנים במשיח אשר הם בקולשא חסד לכם ושלום מאת האלהים אבינו ואדנינו ישוע המשיח׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mimi paulo, mtume wa kristo yesu kwa mapenzi ya mungu, nawaandikia ninyi watu wa mungu huko efeso, mlio waaminifu katika kuungana na kristo yesu.
פולוס שליח ישוע המשיח ברצון אלהים אל הקדשים הנמצאים באפסוס ומאמינים במשיח ישוע׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
agano hili halitakuwa kama lile nililofanya na babu zao siku ile nilipowaongoza kwa mkono kutoka nchi ya misri. hawakuwa waaminifu kwa agano langu; na hivyo mimi sikuwajali, asema bwana.
לא כברית אשר כרתי את אבותם ביום החזיקי בידם להוציאם מארץ מצרים אשר המה הפרו את בריתי ואנכי בחלתי בם נאם יהוה׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
watapigana na mwanakondoo, lakini mwanakondoo pamoja na wale aliowaita na kuwachagua, ambao ni waaminifu, atawashinda kwa sababu yeye ni bwana wa mabwana na mfalme wa wafalme."
המה ילחמו בשה והשה יכול יוכל להם כי הוא אדני האדנים ומלך המלכים ועמו הקרואים והבחירים והנאמנים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
usiogope hata kidogo yale ambayo itakulazimu kuteseka. sikiliza! ibilisi anataka kuwajaribu kwa kuwatia baadhi yenu gerezani; nanyi mtapata dhiki kwa muda wa siku kumi. muwe waaminifu hata mpaka kufa, nami nitawapeni taji ya uzima.
אל תירא את אשר עליך לסבל הנה עתיד המלשין להשליך מכם לבית המשמר למען תנסו והייתם בצרה עשרת ימים היה נאמן עד מות ואתנה לך עטרת החיים׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: