From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. basi, wakamwendea,
さてイエスは山に登り、みこころにかなった者たちを呼び寄せられたので、彼らはみもとにきた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akasimama, akawaita na kuwauliza, "mnataka niwafanyie nini?"
イエスは立ちどまり、彼らを呼んで言われた、「わたしに何をしてほしいのか」。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
hapo yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, "shetani anawezaje kumfukuza shetani?
そこでイエスは彼らを呼び寄せ、譬をもって言われた、「どうして、サタンがサタンを追い出すことができようか。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akawaita mara, nao wakamwacha baba yao zebedayo katika mashua pamoja na wafanyakazi, wakamfuata.
そこで、すぐ彼らをお招きになると、父ゼベダイを雇人たちと一緒に舟において、イエスのあとについて行った。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
petro akamsaidia kusimama, halafu akawaita wale watu wa mungu na wale wajane, akamkabidhi kwao akiwa mzima.
ペテロは彼女に手をかして立たせた。それから、聖徒たちや、やもめたちを呼び入れて、彼女が生きかえっているのを見せた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi akawaita pamoja makuhani wakuu wote na walimu wa sheria, akawauliza, "kristo atazaliwa wapi?"
そこで王は祭司長たちと民の律法学者たちとを全部集めて、キリストはどこに生れるのかと、彼らに問いただした。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wakati huo umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena, na hawakuwa na chakula. basi, yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia,
そのころ、また大ぜいの群衆が集まっていたが、何も食べるものがなかったので、イエスは弟子たちを呼び寄せて言われた、
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hivyo yesu akawaita, akawaambia, "mnajua kwamba watawala wa mataifa hutawala watu wao kwa mabavu na wakuu hao huwamiliki watu wao.
そこで、イエスは彼らを呼び寄せて言われた、「あなたがたの知っているとおり、異邦人の支配者たちはその民を治め、また偉い人たちは、その民の上に権力をふるっている。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, akawaita wadeni wa bwana wake, mmoja mmoja, akamwambia yule wa kwanza: unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?
それから彼は、主人の負債者をひとりびとり呼び出して、初めの人に、『あなたは、わたしの主人にどれだけ負債がありますか』と尋ねた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akawaita, akawaambia, "mnajua kwamba wale wanaofikiriwa kuwa watawala wa mataifa huwatawala watu wao kwa mabavu, na wakuu hao huwamiliki watu wao.
そこで、イエスは彼らを呼び寄せて言われた、「あなたがたの知っているとおり、異邦人の支配者と見られている人々は、その民を治め、また偉い人たちは、その民の上に権力をふるっている。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, "kweli nawaambieni, huyu mama mjane maskini ametoa zaidi kuliko wengine wote waliotia fedha katika sanduku la hazina.
そこで、イエスは弟子たちを呼び寄せて言われた、「よく聞きなさい。あの貧しいやもめは、さいせん箱に投げ入れている人たちの中で、だれよりもたくさん入れたのだ。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akaketi chini, akawaita wale kumi na wawili, akawaambia, "yeyote anayetaka kuwa wa kwanza lazima awe wa mwisho na kuwa mtumishi wa wote."
そこで、イエスはすわって十二弟子を呼び、そして言われた、「だれでも一ばん先になろうと思うならば、一ばんあとになり、みんなに仕える者とならねばならない」。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
walipo uonja ule mti, tupu zao zilifichuka na wakaingia kujibandika majani ya bustanini. mola wao mlezi akawaita: je, sikukukatazeni mti huo, na kukwambieni ya kwamba shet'ani ni adui yenu wa dhaahiri?
こうしてかれは両人を欺いて堕落させた。かれらがこの木を味わうと,その恥ずかしい処があらわになり,2人は園の木の葉でその身を覆い始めた。その時主は,かれらに呼びかけて仰せられた。「われはこの木をあなたがたに禁じたではないか。また悪魔〔シャイターン〕は,あなたがたの公然の敵であると告げたではないか。」
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: