Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
mna nini hamweki heshima ya mwenyezi mungu?
あなたがたはどうしたのか。アッラーの御親切,我慢強さに対して,望みを持たないとは。
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu.
しかし、すべてのことを適宜に、かつ秩序を正して行うがよい。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
pendaneni kidugu; kila mmoja amfikirie mwenzake kwanza kwa heshima.
兄弟の愛をもって互にいつくしみ、進んで互に尊敬し合いなさい。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hupenda kusalimiwa kwa heshima sokoni na kupendelea kuitwa na watu: mwalimu.
広場であいさつされることや、人々から先生と呼ばれることを好んでいる。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kila mwanamume anapaswa kujua namna ya kuishi na mkewe kwa utakatifu na heshima,
各自、気をつけて自分のからだを清く尊く保ち、
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu ya kazi wanayofanya. muwe na amani kati yenu.
彼らの働きを思って、特に愛し敬いなさい。互に平和に過ごしなさい。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu aliona jinsi wale walioalikwa walivyokuwa wanajichagulia nafasi za heshima, akawaambia mfano:
客に招かれた者たちが上座を選んでいる様子をごらんになって、彼らに一つの譬を語られた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
自分の家をよく治め、謹厳であって、子供たちを従順な者に育てている人でなければならない。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
ulimfanya kwa kitambo kidogo kuwa chini zaidi kuliko malaika; ukamvika taji ya utukufu na heshima,
あなたは、しばらくの間、彼を御使たちよりも低い者となし、栄光とほまれとを冠として彼に与え、
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
maana yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, "nabii hapati heshima katika nchi yake."
イエスはみずからはっきり、「預言者は自分の故郷では敬われないものだ」と言われたのである。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
hatimaye, ndugu, tuombeeni ili ujumbe wa bwana uzidi kuenea upesi na kupokelewa kwa heshima kama vile ulivyo kati yenu.
最後に、兄弟たちよ。わたしたちのために祈ってほしい。どうか主の言葉が、あなたがたの所と同じように、ここでも早く広まり、また、あがめられるように。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hakuna mtu awezaye kujitwalia mwenyewe heshima ya kuwa kuhani mkuu. kila mmoja huteuliwa na mungu kuwa kuhani mkuu kama alivyokuwa aroni.
かつ、だれもこの栄誉ある務を自分で得るのではなく、アロンの場合のように、神の召しによって受けるのである。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini mungu atawapa utukufu, heshima na amani wale wanaotenda mema; wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia.
善を行うすべての人には、ユダヤ人をはじめギリシヤ人にも、光栄とほまれと平安とが与えられる。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
"ole wenu ninyi mafarisayo, kwa sababu mnapenda kuketi mbele mahali pa heshima katika masunagogi, na kusalimiwa kwa heshima hadharani.
あなたがたパリサイ人は、わざわいである。会堂の上席や広場での敬礼を好んでいる。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wakati atakapokuja siku ile kupokea utukufu kutoka kwa watu wake na heshima kutoka kwa wote wanaoamini. ninyi pia mtakuwa miongoni mwao, kwani mmeuamini ule ujumbe tuliowaletea.
その日に、イエスは下ってこられ、聖徒たちの中であがめられ、すべて信じる者たちの間で驚嘆されるであろう――わたしたちのこのあかしは、あなたがたによって信じられているのである。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
さらに、先の獣の前で行うのを許されたしるしで、地に住む人々を惑わし、かつ、つるぎの傷を受けてもなお生きている先の獣の像を造ることを、地に住む人々に命じた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini twamwona yesu ambaye alifanywa kwa kitambo kidogo kuwa chini zaidi kuliko malaika, ili kwa neema ya mungu afe kwa ajili ya watu wote. sasa tunamwona ametawazwa kwa utukufu na heshima kwa sababu ya kifo alichoteseka.
ただ、「しばらくの間、御使たちよりも低い者とされた」イエスが、死の苦しみのゆえに、栄光とほまれとを冠として与えられたのを見る。それは、彼が神の恵みによって、すべての人のために死を味わわれるためであった。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yeye peke yake anaishi milele, katika mwanga usioweza kukaribiwa na mtu. hakuna mtu aliyepata kumwona au awezaye kumwona. kwake iwe heshima na uwezo wa milele! amina.
神はただひとり不死を保ち、近づきがたい光の中に住み、人間の中でだれも見た者がなく、見ることもできないかたである。ほまれと永遠の支配とが、神にあるように、アァメン。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kadhalika nanyi waume, katika kuishi na wake zenu mnapaswa kutambua kwamba wao ni dhaifu na hivyo muwatendee kwa heshima; maana nao pia watapokea pamoja nanyi zawadi ya uzima anayowapeni mungu. hapo ndipo sala zenu hazitakataliwa.
夫たる者よ。あなたがたも同じように、女は自分よりも弱い器であることを認めて、知識に従って妻と共に住み、いのちの恵みを共どもに受け継ぐ者として、尊びなさい。それは、あなたがたの祈が妨げられないためである。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
katika mafundisho yake, yesu alisema, "jihadharini na walimu wa sheria ambao hupenda kupitapita wamejivalia kanzu ndefu na kusalimiwa na watu kwa heshima sokoni; hupenda kuketi mahali pa heshima katika masunagogi,
イエスはその教の中で言われた、「律法学者に気をつけなさい。彼らは長い衣を着て歩くことや、広場であいさつされることや、
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting