Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
makuhani wakuu wakamshtaki yesu mambo mengi.
そこで祭司長たちは、イエスのことをいろいろと訴えた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
makuhani na watawala wetu walimtoa ahukumiwe kufa, wakamsulubisha.
祭司長たちや役人たちが、死刑に処するために引き渡し、十字架につけたのです。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini makuhani wakuu wakawachochea watu wamwombe pilato awafungulie baraba.
しかし祭司長たちは、バラバの方をゆるしてもらうように、群衆を煽動した。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, pilato akaitisha mkutano wa makuhani wakuu, viongozi na watu,
ピラトは、祭司長たちと役人たちと民衆とを、呼び集めて言った、
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
nilipokwenda yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa wayahudi walimshtaki na kuniomba nimhukumu.
わたしがエルサレムに行った時、この男のことを、祭司長たちやユダヤ人の長老たちが、わたしに報告し、彼を罪に定めるようにと要求した。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hali kadhalika na makuhani wakuu pamoja na walimu wa sheria na wazee walimdhihaki wakisema,
祭司長たちも同じように、律法学者、長老たちと一緒になって、嘲弄して言った、
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
makuhani wakuu na walimu wa sheria wakajitokeza mbele, wakatoa mashtaka yao kwa nguvu sana.
祭司長たちと律法学者たちとは立って、激しい語調でイエスを訴えた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
alisema hivyo kwa sababu alijua wazi kwamba makuhani wakuu walimkabidhi yesu kwake kwa sababu ya wivu.
それは、祭司長たちがイエスを引きわたしたのは、ねたみのためであることが、ピラトにわかっていたからである。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
makuhani wakuu na mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko yesu awaarifu kusudi wamtie nguvuni.
祭司長たちとパリサイ人たちとは、イエスを捕えようとして、そのいどころを知っている者があれば申し出よ、という指令を出していた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, wakampeleka yesu kwa kuhani mkuu ambapo makuhani wakuu wote, wazee na walimu wa sheria walikuwa wamekutanika.
それから、イエスを大祭司のところに連れて行くと、祭司長、長老、律法学者たちがみな集まってきた。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mara tu walipoachwa huru, petro na yohane walirudi kwa wenzao, wakawaeleza yale waliyoambiwa na makuhani wakuu na wazee.
ふたりはゆるされてから、仲間の者たちのところに帰って、祭司長たちや長老たちが言ったいっさいのことを報告した。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
neno la mungu likazidi kuenea na idadi ya waumini huko yerusalemu ikaongezeka zaidi, na kundi kubwa la makuhani wakaipokea imani.
こうして神の言は、ますますひろまり、エルサレムにおける弟子の数が、非常にふえていき、祭司たちも多数、信仰を受けいれるようになった。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
walimu wa sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.
このとき、律法学者たちや祭司長たちはイエスに手をかけようと思ったが、民衆を恐れた。いまの譬が自分たちに当てて語られたのだと、悟ったからである。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
makuhani wakuu na walimu wa sheria waliposikia hayo, walianza kutafuta njia ya kumwangamiza. lakini walimwogopa kwa sababu umati wa watu ulishangazwa na mafundisho yake.
祭司長、律法学者たちはこれを聞いて、どうかしてイエスを殺そうと計った。彼らは、群衆がみなその教に感動していたので、イエスを恐れていたからである。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
"sikilizeni! tunakwenda yerusalemu, na huko mwana wa mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa sheria, nao watamhukumu auawe.
「見よ、わたしたちはエルサレムへ上って行くが、人の子は祭司長、律法学者たちの手に渡されるであろう。彼らは彼に死刑を宣告し、
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
sheria ya mose huwateua watu waliokuwa dhaifu kuwa makuhani wakuu; lakini ahadi ya mungu aliyoifanya kwa kiapo na ambayo imefika baada ya sheria imemteua mwana ambaye amefanywa mkamilifu milele.
律法は、弱さを身に負う人間を立てて大祭司とするが、律法の後にきた誓いの御言は、永遠に全うされた御子を立てて、大祭司としたのである。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wamewafanya makuhani wao na wamonaki wao kuwa ni marabi badala ya mwenyezi mungu, na pia masihi bin maryamu. na wala hawakuamrishwa isipo kuwa wamuabudu mungu mmoja, hapana mungu ila yeye.
かれらは,アッラーをおいて律法学者や修道士を自分の主となし,またマルヤムの子マスィーフを(主としている)。しかしかれらは,唯一なる神に仕える以外の命令を受けてはいない。かれの外に神はないのである。かれらが配するものから離れて(高くいます)かれを讃える。
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
"sikilizeni! tunakwenda yerusalemu, na huko mwana wa mtu atakabidhiwa kwa makuhani wakuu na walimu wa sheria, nao watamhukumu auawe na kumkabidhi kwa watu wa mataifa.
「見よ、わたしたちはエルサレムへ上って行くが、人の子は祭司長、律法学者たちの手に引きわたされる。そして彼らは死刑を宣告した上、彼を異邦人に引きわたすであろう。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
lakini ninyi ni ukoo mteule, makuhani wa mfalme, taifa takatifu; watu wake mungu mwenyewe, mlioteuliwa kutangaza matendo makuu ya mungu aliyewaiteni kutoka gizani akawaingizeni katika mwanga wake mkuu.
しかし、あなたがたは、選ばれた種族、祭司の国、聖なる国民、神につける民である。それによって、暗やみから驚くべきみ光に招き入れて下さったかたのみわざを、あなたがたが語り伝えるためである。
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hakika wengi katika makuhani na wamonaki wanakula mali za watu kwa baat'ili na wanazuilia njia ya mwenyezi mungu. na wanao kusanya dhahabu na fedha, wala hawazitumii katika njia ya mwenyezi mungu, wabashirie khabari ya adhabu iliyo chungu.
あなたがた信仰する者たちよ,律法学者や修道士の多くは偽って人びとの財産を貪り,(かれらを)アッラーの道から妨げている。また金や銀を蓄えて,それをアッラーの道のために施さない者もいる。かれらに痛ましい懲罰を告げてやれ。
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: