From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu,
sicut locutus est per os sanctorum qui a saeculo sunt prophetarum eiu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.
et multi pseudoprophetae surgent et seducent multo
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:
videte ergo ne superveniat quod dictum est in propheti
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mafundisho yote ya manabii na sheria yalibashiri juu ya nyakati hizi.
omnes enim prophetae et lex usque ad iohannem prophetaverun
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja antiokia kutoka yerusalemu.
in his autem diebus supervenerunt ab hierosolymis prophetae antiochia
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
sheria yote ya mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili."
in his duobus mandatis universa lex pendet et propheta
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ole wenu, kwa kuwa mnajenga makaburi ya manabii wale ambao wazee wenu waliwaua.
vae vobis quia aedificatis monumenta prophetarum patres autem vestri occiderunt illo
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika maandiko matakatifu kuanzia mose hadi manabii wote.
et incipiens a mose et omnibus prophetis interpretabatur illis in omnibus scripturis quae de ipso eran
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama maandiko matakatifu yasemavyo:
et huic concordant verba prophetarum sicut scriptum es
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
hapo zamani, mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii,
multifariam et multis modis olim deus loquens patribus in propheti
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mwasema: kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!
et dicitis si fuissemus in diebus patrum nostrorum non essemus socii eorum in sanguine prophetaru
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
ole wenu ninyi iwapo watu wote wanawasifu, maana wazee wao waliwafanyia manabii wa uongo vivyo hivyo.
vae cum bene vobis dixerint omnes homines secundum haec faciebant prophetis patres eoru
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.
de qua salute exquisierunt atque scrutati sunt prophetae qui de futura in vobis gratia prophetaverun
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao.
profecto testificamini quod consentitis operibus patrum vestrorum quoniam quidem ipsi eos occiderunt vos autem aedificatis eorum sepulchr
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani.
quem oportet caelum quidem suscipere usque in tempora restitutionis omnium quae locutus est deus per os sanctorum suorum a saeculo prophetaru
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
maana watatokea kina kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa mungu, kama ikiwezekana.
exsurgent enim pseudochristi et pseudoprophetae et dabunt signa et portenta ad seducendos si potest fieri etiam electo
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
akahamia katika mji uitwao nazareti. ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: "ataitwa mnazare."
et veniens habitavit in civitate quae vocatur nazareth ut adimpleretur quod dictum est per prophetas quoniam nazareus vocabitu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza habari njema, wengine wachungaji na walimu.
et ipse dedit quosdam quidem apostolos quosdam autem prophetas alios vero evangelistas alios autem pastores et doctore
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu aliwachukua kando wale kumi na wawili, akawaambia, "sikilizeni! tunakwenda yerusalemu na huko kila kitu kilichoandikwa na manabii kuhusu mwana wa mtu kitakamilishwa.
adsumpsit autem iesus duodecim et ait illis ecce ascendimus hierosolyma et consummabuntur omnia quae scripta sunt per prophetas de filio homini
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
lakini ninyi, watoto, ni wake mungu na mmekwisha washinda hao manabii wa uongo; maana roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu.
vos ex deo estis filioli et vicistis eos quoniam maior est qui in vobis est quam qui in mund
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: