Results for sanamu translation from Swahili to Latin

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

Latin

Info

Swahili

kwa hiyo, wapenzi wangu, epeni ibada za sanamu.

Latin

propter quod carissimi mihi fugite ab idolorum cultur

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

mnajua kwamba, kabla ya kuongoka kwenu, mlitawaliwa na kupotoshwa na sanamu tupu.

Latin

scitis quoniam cum gentes essetis ad simulacra muta prout ducebamini eunte

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

hapo ndipo walipojitengenezea sanamu ya ndama, wakaitambikia na kukifanyia sherehe kitu ambacho ni kazi ya mikono yao wenyewe.

Latin

et vitulum fecerunt in illis diebus et obtulerunt hostiam simulacro et laetabantur in operibus manuum suaru

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

kisha alijaliwa kuipulizia uhai hiyo sanamu ya yule mnyama wa kwanza, hata ikaweza kuongea na kuwaua watu wote ambao hawakuiabudu.

Latin

et datum est illi ut daret spiritum imagini bestiae ut et loquatur imago bestiae et faciat quicumque non adoraverint imaginem bestiae occidantu

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, choyo, mabishano, mafarakano;

Latin

idolorum servitus veneficia inimicitiae contentiones aemulationes irae rixae dissensiones secta

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

lakini mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu na wote wanaopenda kusema uongo, watakaa nje ya mji.

Latin

foris canes et venefici et inpudici et homicidae et idolis servientes et omnis qui amat et facit mendaciu

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

lakini ninayo machache dhidi yako: baadhi yenu ni wafuasi wa balaamu aliyemfundisha balaki kuwatega wana wa israeli wale vyakula vilivyotambikiwa sanamu za kufanya uzinzi.

Latin

sed habeo adversus te pauca quia habes illic tenentes doctrinam balaam qui docebat balac mittere scandalum coram filiis israhel edere et fornicar

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.

Latin

et seducit habitantes terram propter signa quae data sunt illi facere in conspectu bestiae dicens habitantibus in terra ut faciant imaginem bestiae quae habet plagam gladii et vixi

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

ninyi mlikibeba kibanda cha mungu moloki, na sanamu ya nyota ya mungu wenu refani. sanamu mlizozifanya ndizo mlizoabudu. kwa sababu hiyo nitakupeleka mateka mbali kupita babuloni!

Latin

et suscepistis tabernaculum moloch et sidus dei vestri rempham figuras quas fecistis adorare eas et transferam vos trans babylone

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

moshi wa moto unaowatesa kupanda juu milele na milele. watu hao waliomwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kutiwa alama ya jina lake, hawatakuwa na nafuu yoyote usiku na mchana."

Latin

et fumus tormentorum eorum in saecula saeculorum ascendit nec habent requiem die ac nocte qui adoraverunt bestiam et imaginem eius et si quis acceperit caracterem nominis eiu

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

nilichoandika ni hiki: msishirikiane na ndugu mkristo aliye mzinzi, mchoyo, mwenye kuabudu sanamu, mchongezi mlevi na mlaghai. mtu wa namna hiyo, hata kula msile naye.

Latin

nunc autem scripsi vobis non commisceri si is qui frater nominatur est fornicator aut avarus aut idolis serviens aut maledicus aut ebriosus aut rapax cum eiusmodi nec cibum sumer

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

hatimaye karani wa mji alifaulu kuwanyamazisha, akawaambia, "wananchi wa efeso, kila mtu anajua kwamba mji huu wa efeso ni mlinzi wa nyumba ya mungu artemi na mlinzi wa ile sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni.

Latin

et cum sedasset scriba turbas dixit viri ephesii quis enim est hominum qui nesciat ephesiorum civitatem cultricem esse magnae dianae iovisque proli

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka, pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake.) huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti.

Latin

et adprehensa est bestia et cum illo pseudopropheta qui fecit signa coram ipso quibus seduxit eos qui acceperunt caracterem bestiae qui et adorant imaginem eius vivi missi sunt hii duo in stagnum ignis ardentis sulphur

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Get a better translation with
8,905,884,318 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK