Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
lakini ikiwa mtaumana na kutafunana kama wanyama, jihadharini msije mkaangamizana wenyewe kwa wenyewe!
quod si invicem mordetis et comeditis videte ne ab invicem consumamin
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
akakaa huko siku arubaini akijaribiwa na shetani. alikuwa huko pamoja na wanyama wa porini, nao malaika wakawa wanamtumikia.
et erat in deserto quadraginta diebus et quadraginta noctibus et temptabatur a satana eratque cum bestiis et angeli ministrabant ill
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
nilichungulia ndani kwa makini nikaona wanyama wenye miguu minne, wanyama wa mwituni, wanyama watambaao na ndege wa angani.
in quod intuens considerabam et vidi quadrupedia terrae et bestias et reptilia et volatilia cael
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wakati huo watu fulani walikuja, wakamweleza yesu juu ya watu wa galilaya ambao pilato alikuwa amewaua wakati walipokuwa wanachinja wanyama wao wa tambiko.
aderant autem quidam ipso in tempore nuntiantes illi de galilaeis quorum sanguinem pilatus miscuit cum sacrificiis eoru
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kuhani mkuu wa kiyahudi huleta damu ya wanyama katika mahali patakatifu na kuitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi; lakini nyama za hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.
quorum enim animalium infertur sanguis pro peccato in sancta per pontificem horum corpora cremantur extra castr
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wanaacha kumwabudu mungu aishiye milele, na badala yake, wanaabudu sanamu zilizo mfano wa binadamu ambaye hufa, mfano wa wanyama, ndege, au wanyama watambaao.
et mutaverunt gloriam incorruptibilis dei in similitudinem imaginis corruptibilis hominis et volucrum et quadrupedum et serpentiu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kama kusudi langu lingalikuwa la kibinadamu tu, kule kupigana kwangu na wanyama wakali hapa efeso kungalinifaa kitu gani? kama wafu hawafufuki, basi, "tule na tunywe, maana kesho tutakufa."
si secundum hominem ad bestias pugnavi ephesi quid mihi prodest si mortui non resurgunt manducemus et bibamus cras enim moriemu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting