Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
lakini yesu akaendelea kutazama amwone huyo aliyefanya hivyo.
mas ele olhava em redor para ver a que isto fizera.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
e, enquanto ele ia passando, outros estendiam no caminho os seus mantos.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akaendelea kusema, "kulikuwa na mtu mmoja mwenye wana wawili.
disse-lhe mais: certo homem tinha dois filhos.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akaendelea kusema, "hakika nawaambieni, nabii hatambuliwi katika kijiji chake.
e prosseguiu: em verdade vos digo que nenhum profeta é aceito na sua terra.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
naye yesu akaendelea kukua katika hekima na kimo; akazidi kupendwa na mungu na watu.
e crescia jesus em sabedoria, em estatura e em graça diante de deus e dos homens.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akaendelea kusema, "ufalme wa mungu ni kama ifuatavyo. mtu hupanda mbegu shambani.
disse também: o reino de deus é assim como se um homem lançasse semente � terra,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
waliposikia akiongea nao kwa kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. naye paulo akaendelea kusema,
ora, quando ouviram que lhes falava em língua hebraica, guardaram ainda maior silêncio. e ele prosseguiu.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akaendelea kusema, "basi, nitawafananisha watu wa kizazi hiki na kitu gani? ni watu wa namna gani?
a que, pois, compararei os homens desta geração, e a que são semelhantes?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
walipotoka majini roho wa bwana akamfanya filipo atoweke. na huyo mwethiopia hakumwona tena; lakini akaendelea na safari yake akiwa amejaa furaha.
quando saíram da água, o espírito do senhor arrebatou a filipe, e não o viu mais o eunuco, que jubiloso seguia o seu caminho.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akaendelea kuwaambia, "kweli nawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona ufalme wa mungu ukija kwa enzi."
disse-lhes mais: em verdade vos digo que, dos que aqui estão, alguns há que de modo nenhum provarão a morte até que vejam o reino de deus já chegando com poder.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akaendelea kusema, "ni nani basi mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watu wake, awape chakula kwa wakati wake?
quem é, pois, o servo fiel e prudente, que o senhor pôs sobre os seus serviçais, para a tempo dar-lhes o sustento?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akaendelea kuwaambia, "je, watu huwasha taa wakaileta ndani na kuifunika kwa pishi au kuiweka mvunguni? la! huiweka juu ya kinara.
disse-lhes mais: vem porventura a candeia para se meter debaixo do alqueire, ou debaixo da cama? não é antes para se colocar no velador?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akaendelea kuwaambia watu mfano huu: "mtu mmoja alilima shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima; kisha akasafiri hadi nchi ya mbali, akakaa huko kwa muda mrefu.
começou então a dizer ao povo esta parábola: um homem plantou uma vinha, arrendou-a a uns lavradores, e ausentou-se do país por muito tempo.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akaendelea kusema: "ni lazima mwana wa mtu apate mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na walimu wa sheria; atauawa, lakini siku ya tatu atafufuliwa."
e disse-lhes: É necessário que o filho do homem padeça muitas coisas, que seja rejeitado pelos anciãos, pelos principais sacerdotes e escribas, que seja morto, e que ao terceiro dia ressuscite.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting