From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
lakini tangu wakati wa adamu mpaka wakati wa mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao hawakutenda dhambi kama ile ya adamu, ya kumwasi mungu. adamu alikuwa kielelezo cha yule ambaye atakuja baadaye.
Однако же смерть царствовала от Адама до Моисея и над несогрешившими подобно преступлению Адама, который есть образ будущего.
henoki, ambaye ni babu wa saba tangu adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: "sikilizeni! bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
О них пророчествовал и Енох, седьмый от Адама, говоря: „се, идет Господь со тьмами святых Ангелов Своих –
maana maandiko yasema: "mtu wa kwanza, adamu, alikuwa kiumbe mwenye uhai;" lakini adamu wa mwisho ni roho awapaye watu uzima.
Так и написано: первый человек Адам стал душею живущею; а последний Адам есть дух животворящий.
lakini ipo tofauti: neema ya mungu si kama dhambi ya adamu. maana, ingawa dhambi ya mtu mmoja ilisababisha kifo kwa wote, kwa fadhili ya mtu mmoja, yaani yesu kristo, mungu amewazidishia wote neema na zawadi zake.
Но дар благодати не как преступление. Ибо если преступлением одного подверглись смерти многие, то тем более благодать Божия и дар по благодати одного Человека, Иисуса Христа, преизбыточествуют для многих.