From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
lakini mungu alimfufua kutoka wafu.
Но Бог воскресил Его из мертвых.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane
Сего Бог воскресил в третий день, и дал Ему являться
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini yule ambaye mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.
а Тот, Которого Бог воскресил, не увидел тления.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, mungu alimfufua huyo yesu na sisi sote ni mashahidi wa tukio hilo.
Сего Иисуса Бог воскресил, чему все мы свидетели.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mungu wa babu zetu alimfufua yesu baada ya ninyi kumwua kwa kumtundika msalabani.
Бог отцов наших воскресил Иисуса, Которого вы умертвили, повесив на древе.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini mungu alimfufua kutoka wafu akamwokoa katika maumivu ya kifo kwa maana haingewezekana kabisa kifo kimfunge.
но Бог воскресил Его, расторгнув узы смерти, потому что ей невозможно было удержать Его.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, mlimuua yule ambaye ni chanzo cha uzima. lakini mungu alimfufua, na sisi ni mashahidi wa tukio hilo.
а Начальника жизни убили. Сего Бог воскресил из мертвых, чему мы свидетели.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
na sasa mwamngojea mwanae ashuke kutoka mbinguni, yesu, ambaye mungu alimfufua kutoka wafu, na ambaye anatuokoa katika ghadhabu ya mungu inayokuja.
и ожидать с небес Сына Его, Которого Он воскресил из мертвых, Иисуса, избавляющего нас от грядущего гнева.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, ilikuwa kwa ajili yenu kwanza kwamba mungu alimfufua mtumishi wake, alimtuma awabariki kwa kumfanya kila mmoja wenu aachane kabisa na maovu yake."
Бог, воскресив Сына Своего Иисуса, к вам первым послал Его благословить вас, отвращая каждого от злых дел ваших.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
zaidi ya hayo sisi tungekuwa mashahidi wa uongo mbele ya mungu, maana tulisema kwamba mungu alimfufua kristo kutoka wafu na kumbe yeye hakumfufua--kama ni kweli kwamba wafu hawafufuliwi.
Притом мы оказались бы и лжесвидетелями о Боге, потому что свидетельствовали бы о Боге, что Он воскресил Христа, Которого Он не воскрешал, если, то есть , мертвые не воскресают;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality: