Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
wisekwai wanajeshi wanazunguka zunguka katikati ya jiji bangna.
wisekwai Армейские ребята бродят по центральному городу Бангна.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
iliripotiwa pia kwa wingi kwamba wanajeshi wengine wa kiislamu mara nyingine walikabiliana na mashambulizi kutoka kwa wanajeshi wenzao.
Поступили сообщения, что военнослужащие мусульмане иногда подвергаются нападкам со стороны своих сослуживцев.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
wanajeshi na waokoaji wakiangalia sehemu rishma alipokuwa amezuiwa na kifusi cha jengo la rana plaza, mahali walipompata akiwa hai.
@sayeedawarsi: необычайная и бодрящая сцена спасения молодой женщины 17 дней после разрушения здания в #Саваре.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ni miezi sita na wanajeshi wa assad walitumia kila aina ya milipuko na mabomu ya kutupa katika kuharibu maeneo mbalimbali ya jiji la homs yaliyokuwa yamezingirwa.
Разрушения за шесть месяцев силами Ассад, были применены все виды взрывчатых веществ и ракет, чтобы уничтожить Хомс и его окрестности.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ndani ya muda mfupi usiozidi saa moja, mtu mwingine mwenye alama ya utambulisho wa kompyuta ya moscow alibadili maelezo hayo na kuandika, "ndege hiyo ilitunguliwa na wanajeshi wa ukraine."
Менее чем через час, кто-то с московским ip-адресом заменил этот текст предложением: “Самолет сбили украинские военные”.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wanajeshi wenye silaha walivamia jengo hilo, moja wapo ya maeneo maarufu zaidi jijini humo linalotembelewa na raia wa kigeni na wa-kenya wa tabaka la kati, na kufanya shambulizi la kikatili zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini humo tangu kulipuka kwa bomu katika jengo la ubalozi wa marekani mwaka 1998.
Более двухсот человек получили ранения. Вооруженные боевики ворвались в здание Торгового центра, одно из самых популярных мест в городе среди иностранцев и принадлежащих к среднему классу жителей Кении, и устроили смертоносную бойню, подобную той, которую пережила страна в 1998 году во время бомбардировки посольства США.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality: