From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
swala la tibet linaonekana kuwa mbali nasi, lakini kama binadamu, haimaanishi kuwa hatuwezi kufanya kitu.
asimismo, más de 240 personas se anotaron para el evento plegarias y velas * para expresar su solidaridad con los tibetanos desde el 27 de febrero de 2009 al 19 de febrero de 2012, 23 tibetanos se han autoinmolado en tíbet, en reclamo de la libertad de la región y del regreso del dalai dama.
alisema yeye alibishana na mtumishi mmoja wa cpvpv kama kuketi katika maeneo ya umma wakati wa saa za swala ilikuwa kosa.
dijo que discutió con el miembro de la cpvpv sobre si sentarse en lugares públicos durante las horas de oración era ilegal.
wanablogu hao walitumia huduma ya twita kuchunguza swala hilo na kuitia shinikizo serikali ya ugiriki kusimamisha usafirishwaji wa silaha hizo.
usando twitter para indagar más sobre el asunto, lograron ejercer la suficiente presión sobre el gobierno griego para detener el envío.
mwanablogu, the lost aborigine anawahimiza viongozi walipe kipaumbele swala la mafuriko zaidi ya maswala mengine ya mambo ya nje:
the lost aborigine insta a los líderes a priorizar el tema de la inundación por sobre otras cuestiones extranjeras:
baada ya swala, watu walikusanyika mbele ya msikiti na kuandamana kupitia barabara za mitaa ya wad nubawi wakiimba kauli mbiu za kupinga utawala wa nchi hiyo.
luego de la oración, la gente se reunió frente a la mezquita y marchó por una de las principales vías en wad nubawi, acompañados de cánticos antirrégimen.
jinsi hugues serraf alivyolitizama swala hili kulizaa hali tete kati ya wasomaji wengi wa lugha ya kifaransa, wote, wasomaji wa kikongo na wale wakiislamu.
el tratamiento de serraf a estas preguntas ha generado controversia entre muchos lectores francófonos, congoleses y musulmanes.
elia varela serra aliandika katika tovuti hii kuhusu swala hili, siku chache tu zilizopita, alitafsiri sehemu ya makala kutoka rue89 iliyoandikwa na mwanahabari hugues serraf.
elia varela serra escribió en este sitio web sobre el mismo tema, hace apenas unos días, traduciendo parte de un artículo de rue89 del periodista hugues serraf.
kwa mujibu wa al-rasheed, walikuwa wamekaa nje ya mkahawa wakati gari la cpvpv lilipokuwa likipita kwa kuwaamuru watu kuondoka eneo hilo waende kwenye swala ya jioni.
según al-rasheed, estaban sentados frente a un café cuando un coche de la cpvpv pasó llamando a la gente a salir de la zona para rezar las oraciones de la tarde.
baada ya mashambulizi dhidi ya wafuasi wa morsy ambapo zaidi ya watu 600 walifariki, wafuasi wa morsy walikusanyika baada ya swala ya ijumaa wakavamia na kuchoma makanisa mawili, na baadhi ya maduka yanayomilikiwa na wakristo katika kijiji cha mallawi.
luego del ataque a la acampada a favor de morsi donde murieron más de 600 personas, los partidarios de morsi se reunieron después de la oración del viernes e irrumpieron y quemaron dos iglesias, y algunas tiendas de propietarios cristianos en la aldea de mallawi.
ninafikiri kuwa, kutoa mimba ni chaguo la kila mwanamke kwa kuzingatia kanuni na taratibu zake za kimaadili, na kwa hakika kabisa, siyo swala la wabunge, wanasaikolojia, walimu wa maadili na wengineo.
creo que el aborto es una opción individual de toda mujer sus principios morales y éticos, y definitivamente no de los parlamentarios, psicólogos, moralizadores públicos, entre otros.
maisha na nyakati za mwenye nyumba wa kihindi(the life and times of an indian homemaker)inaleta sehemu ya barua pepe ya shujaa aliyeponea mateso ya ngono utotoni ambaye pia alitizama sehemu ya pili ya swala hilo:
the life and times of an indian homemaker comparte un e-mail de un valiente sobreviviente de abuso sexual infantil que vio el segundo episodio sobre este tema:
mapigano yamelipuka kweeye msikiti wa riyadh kati ya wa-saudi na wa-misri baada ya mhubiri wa ki-saudi kumlaani waziri wa ulinzi wa misri generali abdel fattah el-sisi wakati mawaidha ya swala ya leo ya ijumaa.
una pelea estalló en una mezquita de riad entre sauditas y egipcios cuando un clérigo saudita insultó al ministro egipcio de defensa, general abdel fattah el-sisi, durante el sermón de la oración del viernes.