From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yosefu akauchukua ule mwili akauzungushia sanda safi ya kitani,
josé tomó el cuerpo, lo envolvió en una sábana limpi
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mwishowe, mfalme mmoja ambaye hakumtambua yosefu alianza kutawala huko misri.
hasta que se levantó en egipto otro rey que no conocía a josé
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yakobo alimzaa yosefu, aliyekuwa mume wake maria, mama yake yesu, aitwaye kristo.
jacob engendró a josé, marido de maría, de la cual nació jesús, llamado el cristo
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
hivyo, yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.
cuando josé despertó del sueño, hizo como el ángel del señor le había mandado, y recibió a su mujer
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini hakumjua kamwe kimwili hata maria alipojifungua mtoto wa kiume. naye yosefu akampa jina yesu.
pero no la conoció hasta que ella dio a luz un hijo, y llamó su nombre jesús
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
katika safari yao ya pili, yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, na farao akaifahamu jamaa ya yosefu.
la segunda vez, josé se dio a conocer a sus hermanos. así el linaje de josé fue dado a conocer al faraón
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
miongoni mwao walikuwa maria magdalene, maria mama yao yakobo na yosefu, pamoja na mama yao wana wa zebedayo.
entre ellas se encontraban maría magdalena, maría la madre de jacobo y de josé, y la madre de los hijos de zebedeo
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa imani yakobo alipokuwa karibu kufa, aliwabariki kila mmoja wa wana wa yosefu, akamwabudu mungu akiegemea ile fimbo yake.
por la fe jacob, cuando moría, bendijo a cada uno de los hijos de josé y adoró apoyado sobre la cabeza de su bastón
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
heli alikuwa mwana wa mathati, mwana wa lawi, mwana wa melki, mwana wa yanai, mwana wa yosefu,
hijo de elí, hijo de matat, hijo de leví, hijo de melqui, hijo de jana, hijo de josé
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. wakanena, "je, huyu si mwana wa yosefu?"
todos daban testimonio de él y estaban maravillados de las palabras de gracia que salían de su boca, y decían: --¿no es éste el hijo de josé
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
siku zilipotimia za yosefu na maria kutakaswa kama walivyotakiwa na sheria ya mose, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye yerusalemu ili wamweke mbele ya bwana.
cuando se cumplieron los días de la purificación de ellos conforme a la ley de moisés, llevaron al niño a jerusalén para presentarle al seño
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kabila la zabuloni, kumi na mbili elfu; kabila la yosefu, kumi na mbili elfu, na kabila la benyamini, kumi na mbili elfu.
de la tribu de zabulón, 12.000 de la tribu de josé, 12.000 de la tribu de benjamín, 12.000
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
hapo yosefu akanunua sanda ya kitani, akauteremsha chini huo mwili, akauzungushia sanda. akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa mwambani, kisha akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango.
comprando una sábana y bajándole de la cruz, josé lo envolvió en la sábana y lo puso en un sepulcro que había sido cavado en una peña. luego hizo rodar una piedra a la entrada del sepulcro
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
je, huyu si yule mwana wa seremala? je, mama yake si anaitwa maria, na ndugu zake si kina yakobo, yosefu, simoni na yuda?
¿no es éste el hijo del carpintero? ¿no se llama su madre maría, y sus hermanos jacobo, josé, simón y judas
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
wakasema, "je, huyu si mwana wa yosefu? tunawajua baba yake na mama yake! basi, anawezaje kusema kwamba ameshuka kutoka mbinguni?"
y decían: --¿no es éste jesús, el hijo de josé? ¿no conocemos a su padre y a su madre? ¿cómo es que ahora dice: "he descendido del cielo"
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
hapo akaja yosefu mwenyeji wa armathaya, mjumbe wa baraza kuu, aliyeheshimika sana. yeye pia alikuwa anatazamia kuja kwa ufalme wa mungu. basi, alimwendea pilato bila uoga, akaomba apewe mwili wa yesu.
llegó josé de arimatea, miembro ilustre del concilio, quien también esperaba el reino de dios, y entró osadamente a pilato y le pidió el cuerpo de jesús
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kulikuwa na mlawi mmoja, mzaliwa wa kupro, jina lake yosefu, ambaye mitume walimwita jina barnaba (maana yake, "mtu mwenye kutia moyo").
entonces josé, quien por los apóstoles era llamado bernabé (que significa hijo de consolación) y quien era levita, natural de chipre
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting