De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
john answered them, saying, i baptize with water: but there standeth one among you, whom ye know not;
yohane akawajibu, "mimi nabatiza kwa maji, lakini yuko mmoja kati yenu, msiyemjua bado.
for christ sent me not to baptize, but to preach the gospel: not with wisdom of words, lest the cross of christ should be made of none effect.
kristo hakunituma kubatiza, bali kuhubiri habari njema; tena, niihubiri bila kutegemea maarifa ya hotuba za watu kusudi nguvu ya kifo cha kristo msalabani isibatilishwe.
and i knew him not: but he that sent me to baptize with water, the same said unto me, upon whom thou shalt see the spirit descending, and remaining on him, the same is he which baptizeth with the holy ghost.
mimi sikumjua, lakini yule aliyenituma nikabatize watu kwa maji alikuwa ameniambia: mtu yule utakayemwona roho akimshukia kutoka mbinguni na kukaa juu yake, huyo ndiye anayebatiza kwa roho mtakatifu.