Aprendiendo a traducir con los ejemplos de traducciones humanas.
De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
saulo intanto infuriava contro la chiesa ed entrando nelle case prendeva uomini e donne e li faceva mettere in prigione
wakati huohuo, saulo alijaribu kuliangamiza kanisa. alikwenda katika kila nyumba, akawatoa nje waumini, wanaume kwa wanawake, akawatia gerezani.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
questo egli disse non perché gl'importasse dei poveri, ma perché era ladro e, siccome teneva la cassa, prendeva quello che vi mettevano dentro
alisema hivyo, si kwa kuwa alijali chochote juu ya maskini, bali kwa sababu alikuwa mweka hazina, na kwa kuwa alikuwa mwizi, mara kwa mara aliiba kutoka katika hiyo hazina.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
infatti, prima che giungessero alcuni da parte di giacomo, egli prendeva cibo insieme ai pagani; ma dopo la loro venuta, cominciò a evitarli e a tenersi in disparte, per timore dei circoncisi
awali, kabla ya watu kadhaa waliokuwa wametumwa na yakobo kuwasili hapo, petro alikuwa akila pamoja na watu wa mataifa mengine. lakini, baada ya hao watu kufika, aliacha kabisa kula pamoja na watu wa mataifa mengine, kwa kuogopa kikundi cha waliosisitiza tohara.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
di conseguenza la donna vide che l’albero era buono come cibo e che era qualcosa che metteva voglia agli occhi, sì, l’albero era desiderabile da guardare. prendeva dunque del suo frutto e lo mangiava. ne diede poi anche a suo marito quando fu con lei ed egli lo mangiava. quindi gli occhi di entrambi si aprirono e cominciarono ad accorgersi di essere nudi. perciò cucirono delle foglie di fico e se ne fecero delle cinture per coprirsi i lombi.
basi mwanamke akaona kwamba mti huo ulikuwa mzuri kwa chakula na kwamba ulikuwa kitu cha kutamanika kwa macho, ndiyo, mti huo ulikuwa wenye kupendeza kuutazama. kwa hiyo akaanza kuchukua kati ya matunda yake akala. baadaye akampa mume wake pia alipokuwa pamoja naye, naye akaanza kula. ndipo macho yao wote wawili yakafunguliwa nao wakaanza kutambua kwamba walikuwa uchi. kwa hiyo wakashona majani ya mtini ya kujifunika kiunoni.