Usted buscó: shambani (Suajili - Árabe)

Traducción automática

Aprendiendo a traducir con los ejemplos de traducciones humanas.

Swahili

Arabic

Información

Swahili

shambani

Arabic

 

De: Traducción automática
Sugiera una traducción mejor
Calidad:

Contribuciones humanas

De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.

Añadir una traducción

Suajili

Árabe

Información

Suajili

aliye shambani asirudi nyuma kuchukua vazi lake.

Árabe

والذي في الحقل فلا يرجع الى الوراء ليأخذ ثوبه.

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Suajili

watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.

Árabe

يكون اثنان في الحقل فيؤخذ الواحد ويترك الآخر.

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Suajili

kwa hivyo mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake."

Árabe

فاطلبوا من رب الحصاد ان يرسل فعلة الى حصاده

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Advertencia: contiene formato HTML invisible

Suajili

wakati huo watu wawili watakuwa shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.

Árabe

حينئذ يكون اثنان في الحقل. يؤخذ الواحد ويترك الآخر.

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Suajili

baadaye yesu aliwatokea wanafunzi wawili akiwa na sura nyingine. wanafunzi hao walikuwa wanakwenda shambani.

Árabe

وبعد ذلك ظهر بهيئة اخرى لاثنين منهم وهما يمشيان منطلقين الى البرية.

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Suajili

yesu akaendelea kusema, "ufalme wa mungu ni kama ifuatavyo. mtu hupanda mbegu shambani.

Árabe

وقال. هكذا ملكوت الله كأن انسانا يلقي البذار على الارض

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Advertencia: contiene formato HTML invisible

Suajili

"wakati huo kaka yake alikuwa bado shambani. alipokuwa akirudi na kukaribia nyumbani akasikia vifijo na ngoma.

Árabe

وكان ابنه الاكبر في الحقل. فلما جاء وقرب من البيت سمع صوت آلات طرب ورقصا.

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Advertencia: contiene formato HTML invisible

Suajili

"siku hiyo, yeyote atakayekuwa juu ya paa asishuke nyumbani kuchukua mali yake. kadhalika, naye atakayekuwa shambani asirudi nyuma.

Árabe

في ذلك اليوم من كان على السطح وامتعته في البيت فلا ينزل ليأخذها. والذي في الحقل كذلك لا يرجع الى الوراء.

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Advertencia: contiene formato HTML invisible

Suajili

akawaambia, "mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. kwa hivyo, mwombeni mwenye shamba atume wavunaji shambani mwake.

Árabe

فقال لهم ان الحصاد كثير ولكن الفعلة قليلون. فاطلبوا من رب الحصاد ان يرسل فعلة الى حصاده.

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Advertencia: contiene formato HTML invisible

Suajili

kisha yesu aliwaaga wale watu, akaingia nyumbani. wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, "tufafanulie ule mfano wa magugu shambani."

Árabe

حينئذ صرف يسوع الجموع وجاء الى البيت. فتقدم اليه تلاميذه قائلين فسّر لنا مثل زوان الحقل.

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Advertencia: contiene formato HTML invisible

Suajili

lakini, kama mungu hulivika vizuri jani la shambani ambalo leo liko na kesho latupwa motoni, je, hatawafanyia ninyi zaidi? enyi watu wenye imani haba!

Árabe

فان كان العشب الذي يوجد اليوم في الحقل ويطرح غدا في التنور يلبسه الله هكذا فكم بالحري يلبسكم انتم يا قليلي الايمان.

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Suajili

"tuseme mmoja wenu ana mtumishi ambaye analima shambani au anachunga kondoo. je, anaporudi kutoka shambani, atamwambia: haraka, njoo ule chakula?

Árabe

ومن منكم له عبد يحرث او يرعى يقول له اذا دخل من الحقل تقدم سريعا واتكئ.

Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Advertencia: contiene formato HTML invisible

Obtenga una traducción de calidad con
7,735,559,714 contribuciones humanas

Usuarios que están solicitando ayuda en este momento:



Utilizamos cookies para mejorar nuestros servicios. Al continuar navegando está aceptando su uso. Más información. De acuerdo