De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
zaburi 35 agano jipya
psalm 35 the new covenant
Última actualización: 2023-09-16
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
zaburi 35
psalm 35
Última actualización: 2020-04-16
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Referencia:
mmefika kwa yesu ambaye ameratibisha agano jipya, na ambaye damu yake iliyomwagika inasema mambo mema zaidi kuliko ile ya abeli.
and to jesus the mediator of the new covenant, and to the blood of sprinkling, that speaketh better things than that of abel.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Referencia:
kwa kusema juu ya agano jipya, mungu alilichakaza lile la kwanza; na chochote kinachochakaa na kuwa kikuukuu kitatoweka karibuni.
in that he saith, a new covenant, he hath made the first old. now that which decayeth and waxeth old is ready to vanish away.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Referencia:
akafanya vivyo hivyo na kikombe, baada ya chakula, akisema, "kikombe hiki ni agano jipya linalothibitishwa kwa damu yangu inayomwagika kwa ajili yenu.
likewise also the cup after supper, saying, this cup is the new testament in my blood, which is shed for you.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Referencia:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
lakini mungu aliwalaumu watu wake aliposema: "siku zinakuja, asema bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa israeli na kabila la yuda.
for finding fault with them, he saith, behold, the days come, saith the lord, when i will make a new covenant with the house of israel and with the house of judah:
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Referencia:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
kwa hiyo, kristo ndiye aliyeratibisha agano jipya ili wale walioitwa na mungu wazipokee baraka za milele walizoahidiwa. watazipata, kwani kifo kimetokea ambacho huwakomboa watu kutoka yale makosa waliyofanya wakati wa lile agano la kale.
and for this cause he is the mediator of the new testament, that by means of death, for the redemption of the transgressions that were under the first testament, they which are called might receive the promise of eternal inheritance.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Referencia:
vivyo hivyo, baada ya kula, akatwaa kikombe akasema: "hiki ni kikombe cha agano jipya linalothibitishwa kwa damu yangu. fanyeni hivi, kila mnapokunywa, kwa kunikumbuka."
after the same manner also he took the cup, when he had supped, saying, this cup is the new testament in my blood: this do ye, as oft as ye drink it, in remembrance of me.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Referencia:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
ndugu zangu, mama yetu wa kwanza wa agano la kale, eva, aliyatamani matunda yenye uzima, lakini kwa kukosa utii kwa mungu, alileta laana kwetu, mikosi, dhambi, na zaidi ya yote giza na kifo. lakini kwa utii wa mama yetu maria, eva wa agano jipya tumejaliwa neema, uhai, na kupata matunda ya wokovu kutoka kwenye mti wa wokovu yqani msalaba wa bwana wetu yesu kristo. hivyo maria ni mama yetu kwakuwa aliunganika na kristo katika kutkomboa sisi watoto wake.
english
Última actualización: 2021-09-15
Frecuencia de uso: 2
Calidad:
Referencia: