De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
mafarisayo na masadukayo walimwendea yesu, na kwa kumjaribu, wakamwomba afanye ishara itokayo mbinguni.
the pharisees also with the sadducees came, and tempting desired him that he would shew them a sign from heaven.
kisha, kuhani mkuu na wenzake waliokuwa wa kikundi cha masadukayo wa mahali hapo, wakawaonea mitume wivu.
then the high priest - rose - up, and all they that were with him, (which is the sect of the sadducees,) and were filled with indignation,
baada ya kusema hivyo, mzozo mkali ulitokea kati ya mafarisayo na masadukayo na mkutano ukagawanyika sehemu mbili.
and when he had so said, there arose a dissension between the pharisees and the sadducees: and the multitude was divided.
kisa chenyewe kilikuwa hiki: masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. lakini mafarisayo husadiki hayo yote matatu.
for the sadducees say that there is no resurrection, neither angel, nor spirit: but the pharisees confess both.
lakini alipowaona mafarisayo wengi na masadukayo wanamjia ili awabatize, aliwaambia, "enyi kizazi cha nyoka! ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja?
but when he saw many of the pharisees and sadducees come to his baptism, he said unto them, o generation of vipers, who hath warned you to flee from the wrath to come?
wakati huo paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni masadukayo na nyingine mafarisayo. basi, alipaaza sauti yake mbele ya baraza: "ndugu zangu, mimi ni mfarisayo, mwana wa mfarisayo. mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."
but when paul perceived that the one part were sadducees, and the other pharisees, he cried out in the council, men and brethren, i am a pharisee, the son of a pharisee: of the hope and resurrection of the dead i am called in question.