전문 번역가, 번역 회사, 웹 페이지 및 자유롭게 사용할 수 있는 번역 저장소 등을 활용합니다.
kisa chenyewe kilikuwa hiki: masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. lakini mafarisayo husadiki hayo yote matatu.
for the sadducees say that there is no resurrection, neither angel, nor spirit: but the pharisees confess both.
lakini alipowaona mafarisayo wengi na masadukayo wanamjia ili awabatize, aliwaambia, "enyi kizazi cha nyoka! ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja?
but when he saw many of the pharisees and sadducees come to his baptism, he said unto them, o generation of vipers, who hath warned you to flee from the wrath to come?
wakati huo paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni masadukayo na nyingine mafarisayo. basi, alipaaza sauti yake mbele ya baraza: "ndugu zangu, mimi ni mfarisayo, mwana wa mfarisayo. mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."
but when paul perceived that the one part were sadducees, and the other pharisees, he cried out in the council, men and brethren, i am a pharisee, the son of a pharisee: of the hope and resurrection of the dead i am called in question.