De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
yosefu pia alifanya safari kutoka mjini nazareti mkoani galilaya. kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa daudi alikwenda mjini bethlehemu mkoani yuda alikozaliwa mfalme daudi.
subiu também josé, da galiléia, da cidade de nazaré, � cidade de davi, chamada belém, porque era da casa e família de davi,
maandiko matakatifu yasemaje? yanasema: kristo atatoka katika ukoo wa daudi, na atazaliwa bethlehemu, mji wa daudi!"
não diz a escritura que o cristo vem da descendência de davi, e de belém, a aldeia donde era davi?
kisha akawatuma bethlehemu akisema, "nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo. mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu."
e enviando-os a belém, disse-lhes: ide, e perguntai diligentemente pelo menino; e, quando o achardes, participai-mo, para que também eu vá e o adore.
baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: "twendeni moja kwa moja mpaka bethlehemu tukalione tukio hili bwana alilotujulisha."
e logo que os anjos se retiraram deles para o céu, diziam os pastores uns aos outros: vamos já até belém, e vejamos isso que aconteceu e que o senhor nos deu a conhecer.
herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. akaamuru watoto wote wa kiume mjini bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe. alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota.
então herodes, vendo que fora iludido pelos magos, irou-se grandemente e mandou matar todos os meninos de dois anos para baixo que havia em belém, e em todos os seus arredores, segundo o tempo que com precisão inquirira dos magos.