De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
makuhani wakuu na mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko yesu awaarifu kusudi wamtie nguvuni.
a glavari svetenièki i fariseji izdae zapovest ako ga ko opazi gde je, da javi da ga uhvate.
yesu akawaonya, "angalieni sana! jihadharini na chachu ya mafarisayo na chachu ya herode."
i zapovedae im govoreæi: gledajte, èuvajte se kvasca farisejskog i kvasca irodovog.
yesu akawauliza walimu wa sheria na mafarisayo, "je, ni halali au la kumponya mtu siku ya sabato?"
i odgovarajuæi isus reèe zakonicima i farisejima govoreæi: je li slobodno u subotu isceljivati?
hapo baadhi ya mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia yesu, "mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!"
i neki fariseji iz naroda rekoe mu: uèitelju! zapreti uèenicima svojim.
hata hivyo, wengi wa viongozi wa wayahudi walimwamini yesu. lakini kwa sababu ya mafarisayo, hawakumkiri hadharani kwa kuogopa kwamba watatengwa na sunagogi.
ali opet i od knezova mnogi ga verovae; nego radi fariseja ne priznavahu, da ne bi bili izgnani iz zbornice;
basi, mafarisayo wakaambiana, "mnaona? hatuwezi kufanya chochote! tazameni, ulimwengu wote unamfuata."
a fariseji govorahu medju sobom: vidite da nita ne pomae? gle, svet ide za njim.
kisa chenyewe kilikuwa hiki: masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. lakini mafarisayo husadiki hayo yote matatu.
jer sadukeji govore da nema vaskrsenja, ni andjela ni duha; a fariseji priznaju oboje.