Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
da zerriß der hohepriester seinen rock und sprach: was bedürfen wir weiter zeugen?
hapo kuhani mkuu akararua joho lake, akasema, "tuna haja gani tena ya mashahidi?
hannas, der hohepriester, und kaiphas und johannes und alexander und wie viel ihrer waren vom hohenpriestergeschlecht;
walikutana pamoja na anasi, kayafa, yohane, aleksanda na wengine waliokuwa wa ukoo wa kuhani mkuu.
auch nicht, daß er sich oftmals opfere, gleichwie der hohepriester geht alle jahre in das heilige mit fremden blut;
kuhani mkuu wa wayahudi huingia mahali patakatifu kila mwaka akiwa amechukua damu ya mnyama; lakini kristo hakuingia humo ili ajitoe mwenyewe mara nyingi,
und der hohepriester stand auf und sprach zu ihm: antwortest du nichts zu dem, was diese wider dich zeugen?
kuhani mkuu akasimama, akamwuliza yesu, "je, hujibu neno? watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?"
da diese rede hörten der hohenpriester und der hauptmann des tempels und andere hohepriester, wurden sie darüber betreten, was doch das werden wollte.
mkuu wa walinzi wa hekalu na makuhani wakuu waliposikia habari hiyo wakawa na wasiwasi, wasijue yaliyowapata.
er aber schwieg still und antwortete nichts. da fragte ihn der hohepriester abermals und sprach zu ihm: bist du christus, der sohn des hochgelobten?
lakini yeye akakaa kimya; hakusema hata neno moja. kuhani mkuu akamwuliza tena, "je, wewe ndiwe kristo, mwana wa mungu mtukufu?"
da sie das gehört hatten, gingen sie früh in den tempel und lehrten. der hohepriester aber kam und die mit ihm waren und riefen zusammen den rat und alle Ältesten der kinder israel und sandten hin zum gefängnis, sie zu holen.
mitume walitii, wakaingia hekaluni asubuhi na mapema, wakaanza kufundisha. kuhani mkuu na wenzake walipofika, waliita mkutano wa baraza kuu, yaani halmashauri yote ya wazee wa wayahudi halafu wakawatuma watu gerezani wawalete wale mitume.
aber jesus schwieg still. und der hohepriester antwortete und sprach zu ihm: ich beschwöre dich bei dem lebendigen gott, daß du uns sagest, ob du seist christus, der sohn gottes.
lakini yesu akakaa kimya. kuhani mkuu akamwambia, "nakuapisha kwa mungu aliye hai, twambie kama wewe ndiwe kristo, mwana wa mungu!"
und paulus sprach: liebe brüder, ich wußte nicht, daß er der hohepriester ist. denn es steht geschrieben: "dem obersten deines volkes sollst du nicht fluchen."
paulo akajibu, "ndugu zangu, sikujua kama yeye ni kuhani mkuu. maana maandiko yasema hivi: usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako."