Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
human rights and ethics advocate frederic jacobs notes that the number of people using tor is on the rise in turkey:
mtetezi wa haki za binadamu na maadili frederic jacobs anabainisha kuwa idadi ya watu wanaotumia huduma ya tor imeongezeka nchini uturuki:
"it is seen that all internal and external peace actors are visibly performing against the ethics of peace process and bouncing beyond the edge of comprehensive peace accord.
“inaonekana kuwa watendaji wa ndani na wa nje wanaonekana wazi jinsi wanavyopinga maadili ya mchakato wa amani na jinsi wanavyodunda mbali na ukingo wa mkataba wa amani.
abdulaziz al-shihri tweeted: "secret police do not have either pre-islam generosity, nor post-islam ethics.
abdulaziz al-shihri alitwiti: "askari kanzu hawana si tu ukarimu uliokuwepo kabla ya uislamu, bali hata maadili ya baada ya kuwepo uislamu.
lebanese media has no decency or any sense of ethics, they're already referring to the missing ppl as "dead" #et409 #lebanon
vyombo vya habari vya lebanoni havina ustaarabu au aina yoyote ya maadili, tayari vinawaita watu ambao hawajapatikana kama “waliokufa” #et409 #lebanon
in the facebook group some colleagues have pointed out that the first article in the official code of ethics for the ivorian journalist published by the ministry of communications (see original in french here) states the rights of journalists in côte d'ivoire:
katika ukurasa wa facebook, baadhi ya wanahabari walisema kwamba kifungu cha kwanza katika mwenendo wa maadili ulio rasmi kwa ajili ya waandishi wa habari wa ivory coast kama ulivyochapishwa na wizara ya mawasiliano (tazama nakala halisi katika kifaransa hapa) inataja haki za waandishi wa habari nchini ivory coast kama: