Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
pero un trabajador de salud en el terreno dice que los centros de salud en verdad reciben medicina una vez cada tres meses.
lakini mfanyakazi wa kituo kimoja cha afya anasema kuwa vituo vya afya kwa kweli huwa vinapokea dawa mara moja kila baada ya miezi mitatu.
además, la promoción de medicina vudú y la demonización de la medicina occidental están ahora muy arraigadas en la psique nacional.
zaidi ya hilo, kuna uhamasishaji wa matumizi ya dawa na upungaji pepo wa kivuduu, vilevile uhusianishaji wa kishetani na sayansi ya magharibi vyote vikiwa vimejikita sawasawa katika mfumo wa kufikiri wa taifa.
los profesionales de la medicina que trabajan en el servicio de salud sudafricano que discreparon públicamente con las bizarras teorías del ministro han sido victimizados”.
wataalamu wa afya wanaofanya kazi nchini afrika ya kusini na ambao walipingana waziwazi na nadharia za kushangaza za waziri huyu walijikuta wakifanywa kuwa wahanga."
@calle13oficial: el mundo está mirando a república dominicana esperando que se haga justicia por el asesinato del joven estudiante de medicina willy warden!
@calle13oficial: macho ya dunia yote yanaitazama jamhuri ya dominika, kwa matarajio kwamba haki itafanyika kwa kifo cha kijana aliyekuwa mwanafunzi wa udaktari willy warden!
a principios de la semana, en la apertura de la conferencia internacional vacuna contra el sida 2008 en cape town, hogan declaró públicamente que el vih sí produce el sida y debería ser tratado con medicina convencional.
mapema juma lililopita, wakati wa uzinduzi wa mkutano juu ya chanjo ya ukimwi ya kimataifa ya 2008 (international aids vaccine 2008) huko cape town, hogan, alitangaza hadharani kwamba vvu husababisha ukimwi na kwamba ni lazima kukabiliana nao kwa kutumia dawa za hospitalini.
en diciembre de 2008, 20 estudiantes somalíes superaron enormes adversidades y se graduaron de la facultad de medicina en mogadishu—el primer grupo en hacerlo en casi dos décadas en el fallido estado del cuerno de África.
mwezi desemba mwaka 2008, wanafunzi 20 walishinda vigezo vikubwa na kufuzu kutoka chuo cha uganga huko mogadishu – kundi la kwanza kufanya hivyo katika takriban miongo miwili ndani ya nchi iliyoshindwa katika pembe ya afrika.
cualquier medicina del mercado tiene efectos secundarios y antes de que lleguen a la fase de ensayo clínico deben superar pruebas de seguridad, primero en animales, y después la vacuna se desactiva antes de administrarse, para que no pueda causar la enfermedad.
kila dawa iliyoko kwenye soko ina madhara yake na kabla ya kuifanya itimike kwenye tiba lazima kwanza uthibitike kuwa salama kwa wanyama kwanza na kisha inafanywa isifanye kazi kitaalam kabla ya kuanza kuitumia, ili isije ikasababisha ugonjw ahuo.
"pueblo escucha, únete a la lucha" 5:08 pm 13/02 #lara #barquisimeto ucla medicina #share pic.twitter.com/pt5ahewkv5 — mariángela gonzález (@ma_guita) february 13, 2014
mwandishi mariángela gonzález akiwa jijini barquisimeto, katika jimbo la lara, alifanikiwa kupata picha ya maandamano yaliyoandaliwa na wanafunzi wa masomo ya utabibu wa chuo kikuu kikubwa kabisa katika eneo hilo kiitwacho universidad centroccidental lisandro alvarado (ucla): "watu: sikilizeni, jiungeni na mapambano;" 5:08 pm 13/02