Apprendre à traduire à partir d'exemples de traductions humaines.
De: Traduction automatique
Suggérer une meilleure traduction
Qualité :
Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
con la parvenza della pietà, mentre ne hanno rinnegata la forza interiore. guardati bene da costoro
kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha mungu, lakini wataikana nguvu yake. jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo.
ma non trattenetele con la forza, sarebbe una trasgressione e chi lo facesse, mancherebbe contro se stesso.
wala msiwarejee kwa kuwadhuru mkafanya uadui. na atakaye fanya hivyo, amejidhulumu nafsi yake.
surprising, sorprendente, come scoprire quanta forza occorre per superare barriere linguistiche, burocratiche, di relazione.
inashangaza pale unapobaini ni ujasiri kiasi unaotakiwa katika kukabiliana na changamoto ya lugha, urasimu pamoja na mahusiano.
ma gesù disse: «qualcuno mi ha toccato. ho sentito che una forza è uscita da me»
lakini yesu akasema, "kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka."
nella destra teneva sette stelle, dalla bocca gli usciva una spada affilata a doppio taglio e il suo volto somigliava al sole quando splende in tutta la sua forza
katika mkono wake wa kulia, alikuwa na nyota saba, na kinywani mwake mlitoka upanga wenye makali kuwili. uso wake uling'aa kama jua kali.
allah è colui che vi ha creati deboli, e quindi dopo la debolezza vi ha dato la forza, e dopo la forza vi riduce alla debolezza e alla vecchiaia.
mwenyezi mungu ndiye aliye kuumbeni kutokana na udhaifu kisha akajaalia nguvu baada ya unyonge, kisha akajaalia baada ya nguvu unyonge tena na ukongwe.
gli camminerà innanzi con lo spirito e la forza di elia, per ricondurre i cuori dei padri verso i figli e i ribelli alla saggezza dei giusti e preparare al signore un popolo ben disposto»
atamtangulia bwana akiongozwa na nguvu na roho kama eliya. atawapatanisha kina baba na watoto wao; atawafanya wasiotii wawe na fikira za uadilifu, na hivyo amtayarishie bwana watu wake."