Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
infatti io non l'ho ricevuto né l'ho imparato da uomini, ma per rivelazione di gesù cristo
wala mimi sikuipokea kutoka kwa binadamu, wala sikufundishwa na mtu. yesu kristo mwenyewe ndiye aliyenifunulia.
ma nella misura in cui partecipate alle sofferenze di cristo, rallegratevi perché anche nella rivelazione della sua gloria possiate rallegrarvi ed esultare
ila furahini kwamba mnashiriki mateso ya kristo ili mweze kuwa na furaha tele wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
se non fosse stato per una precedente rivelazione di allah, vi sarebbe toccato un castigo immenso, per quello che avete preso.
lau isingeli kuwa hukumu iliyo kwisha tangulia kutoka kwa mwenyezi mungu ingeli kupateni adhabu kubwa kwa vile mlivyo chukua.
seguite dunque la meravigliosa rivelazione del vostro signore prima che, all'improvviso, vi colpisca il castigo mentre non ne avete sentore,
na fuateni yaliyo bora kabisa katika yale yaliyo teremshwa kwenu kutoka kwa mola wenu mlezi, kabla haijakujieni adhabu kwa ghafla, na hali hamtambui.
[paragonando la rivelazione all'acqua che scende dal cielo, il corano afferma che ogni uomo ne potrà ricevere nella misura della sua ricettività spirituale.
namna hivyo mwenyezi mungu ndivyo anavyo piga mifano ya haki na baat'ili. basi lile povu linapita kama takataka tu basi.
non gli abbiamo insegnato la poesia, non è cosa che gli si addice; questa [rivelazione] non è che un monito e un corano chiarissimo,
wala hatukumfundisha (muhammad) mashairi, wala hayatakikani kwake hayo. haukuwa huu ila ni ukumbusho na qur'ani inayo bainisha.
timoteo, mio compagno d’opera, vi saluta, e anche lucio e giasone e sosipatro miei parenti. io, terzo, che ho scritto questa lettera, vi saluto nel signore. vi saluta gaio, ospite mio e di tutta la congregazione. vi saluta erasto, economo della città, come pure quarto suo fratello. — ora a colui che vi può rendere fermi secondo la buona notizia che io dichiaro e la predicazione di gesù cristo, conforme alla rivelazione del sacro segreto che per tempi di lunga durata è stato taciuto, ma che ora è stato reso manifesto ed è stato fatto conoscere per mezzo delle scritture profetiche fra tutte le nazioni secondo il comando dell’iddio eterno per promuovere l’ubbidienza mediante la fede: a dio, solo sapiente, sia la gloria per mezzo di gesù cristo per sempre. amen.
timotheo mfanyakazi mwenzangu anawasalimu ninyi, na pia lukio na yasoni na sosipata jamaa zangu. mimi, tertio, ambaye nimeiandika barua hii, nawasalimu ninyi katika bwana. gayo, mkaribishaji wangu na wa kutaniko lote, anawasalimu ninyi. erasto msimamizi wa jiji anawasalimu ninyi, na pia kwarto ndugu yake. —— sasa kwa yeye anayeweza kuwafanya ninyi kuwa imara kulingana na habari njema ninayotangaza na kuhubiriwa kwa yesu kristo, kwa kupatana na ufunuo wa siri takatifu ambayo imewekwa katika siri tangu nyakati za zamani za kale lakini sasa imefunuliwa na kujulishwa kupitia maandiko ya kinabii kati ya mataifa yote kwa kupatana na amri ya mungu anayedumu milele ili kuendeleza utii kwa njia ya imani; kwa mungu, mwenye hekima peke yake, kuwe na utukufu kupitia yesu kristo milele. amina.