Apprendre à traduire à partir d'exemples de traductions humaines.
Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
et simulationi eius consenserunt ceteri iudaei ita ut et barnabas duceretur ab eis in illa simulation
hata ndugu wengine wayahudi walimuunga mkono petro katika kitendo hiki cha unafiki, naye barnaba akakumbwa na huo unafiki wao.
facta est autem dissensio ita ut discederent ab invicem et barnabas adsumpto marco navigaret cypru
basi kukatokea ubishi mkali kati yao, na wakaachana. barnaba akamchukua marko, wakapanda meli kwenda kupro.
barnabas autem et saulus reversi sunt ab hierosolymis expleto ministerio adsumpto iohanne qui cognominatus est marcu
baada ya barnaba na saulo kutekeleza shughuli zao, walitoka tena yerusalemu wakamchukua yohane aitwaye pia marko.
tunc constanter paulus et barnabas dixerunt vobis oportebat primum loqui verbum dei sed quoniam repellitis illud et indignos vos iudicastis aeternae vitae ecce convertimur ad gente
hata hivyo, paulo na barnaba waliongea kwa uhodari zaidi, wakasema, "ilikuwa ni lazima neno la mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, basi, tunawaacheni na kuwaendea watu wa mataifa mengine.
barnabas autem adprehensum illum duxit ad apostolos et narravit illis quomodo in via vidisset dominum et quia locutus est ei et quomodo in damasco fiducialiter egerit in nomine ies
hapo, barnaba alikuja akamchukua saulo, akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi saulo alivyomwona bwana njiani na jinsi bwana alivyoongea naye. aliwaambia pia jinsi saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule damasko.