Apprendre à traduire à partir d'exemples de traductions humaines.
De: Traduction automatique
Suggérer une meilleure traduction
Qualité :
Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
quis est qui condemnet christus iesus qui mortuus est immo qui resurrexit qui et est ad dexteram dei qui etiam interpellat pro nobi
ni nani atakayewahukumu? hakuna! maana kristo ndiye aliyekufa, tena alifufuka kutoka wafu na anakaa upande wa kulia wa mungu. yeye anatuombea!
itaque fratres mei et vos mortificati estis legi per corpus christi ut sitis alterius qui ex mortuis resurrexit ut fructificaremus de
hali kadhalika ninyi ndugu zangu: ninyi pia mmekufa kuhusu sheria kwa kuwa ninyi ni sehemu ya mwili wa kristo; sasa mmekuwa wake yeye aliyefufuliwa kutoka wafu ili tupate kuzaa matunda mema kwa ajili ya mungu.
et audivit herodes rex manifestum enim factum est nomen eius et dicebat quia iohannes baptista resurrexit a mortuis et propterea inoperantur virtutes in ill
basi, mfalme herode alisikia juu ya hayo yote, maana sifa za yesu zilienea kila mahali. baadhi ya watu walikuwa wakisema, "yohane mbatizaji amefufuka kutoka wafu, ndiyo maana nguvu za miujiza zinafanya kazi ndani yake."
quem ergo fructum habuistis tunc in quibus nunc erubescitis nam finis illorum mors es
sasa, mlipata faida gani siku zile kutokana na mambo yale ambayo mnayaonea aibu sasa? maana, matokeo ya mambo haya ni kifo!
cum autem mortale hoc induerit inmortalitatem tunc fiet sermo qui scriptus est absorta est mors in victori
basi, mwili huu wenye kuharibika utakapojivalia hali ya kutoharibika, na kile chenye kufa kitakapojivalia hali ya kutokufa, hapo ndipo litakapotimia lile neno lililoandikwa: "kifo kimeangamizwa ushindi umekamilika!"
certus sum enim quia neque mors neque vita neque angeli neque principatus neque instantia neque futura neque fortitudine
maana ninajua hakika kwamba hakuna kitu kiwezacho kututenganisha na upendo wake: wala kifo, wala uhai; wala malaika, au nguvu nyingine za mbinguni; wala yanayotokea sasa, wala yatakayotokea baadaye; wala mamlaka;
et absterget deus omnem lacrimam ab oculis eorum et mors ultra non erit neque luctus neque clamor neque dolor erit ultra quae prima abierun
yeye atayafuta machozi yao yote; maana hakutakuwako tena na kifo, wala uchungu, wala kilio, wala maumivu; maana ile hali ya kale imepita!"
beatus et sanctus qui habet partem in resurrectione prima in his secunda mors non habet potestatem sed erunt sacerdotes dei et christi et regnabunt cum illo mille anni
wameneemeka sana, tena heri yao wote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. kifo cha pili hakitakuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani wa mungu na wa kristo, na watatawala pamoja naye kwa miaka elfu moja.