Apprendre à traduire à partir d'exemples de traductions humaines.
Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
kwenye twita, baadhi wanakosoa kuwepo kwa ahmadinejad na mapokezi aliyopewa na serikali ya venezuela.
on twitter, some criticize ahmadinejad's presence and the welcoming he received by the venezuelan government.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
mnapaswa kuuona uvumilivu wa bwana kuwa ni nafasi anayowapeni mpate kuokolewa, kama paulo ndugu yetu mpenzi alivyowaandikia akitumia hekima aliyopewa na mungu.
and account that the longsuffering of our lord is salvation; even as our beloved brother paul also according to the wisdom given unto him hath written unto you;
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka aliyopewa abrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine kwa njia ya kristo, na ili kwa imani, tumpokee yule roho ambaye mungu alituahidia.
that the blessing of abraham might come on the gentiles through jesus christ; that we might receive the promise of the spirit through faith.
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
apolo ni nani? na paulo ni nani? sisi ni watumishi tu ambao tuliwaleteeni ninyi imani. kila mmoja wetu anafanya kazi aliyopewa na bwana.
who then is paul, and who is apollos, but ministers by whom ye believed, even as the lord gave to every man?
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na bakuli akaja, akaniambia, "njoo, mimi nitakuonyesha adhabu aliyopewa yule mzinzi mkuu, mji ule uliojengwa juu ya maji mengi.
and there came one of the seven angels which had the seven vials, and talked with me, saying unto me, come hither; i will shew unto thee the judgment of the great whore that sitteth upon many waters:
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent
siku ya sabato ilipofika, alianza kufundisha katika sunagogi. wengi waliomsikia walishangaa, wakasema, "je, ameyapata wapi mambo haya? ni hekima gani hii aliyopewa? tena, anatendaje maajabu haya anayoyafanya?
and when the sabbath day was come, he began to teach in the synagogue: and many hearing him were astonished, saying, from whence hath this man these things? and what wisdom is this which is given unto him, that even such mighty works are wrought by his hands?
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent