Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
mti huu bado upo pemezoni mwa kata namba 1 ya kijiji cha haibung.
the tree still stands on the edge of ward no. 1 of haibung village.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kijiji cha bethania kilikuwa karibu na yerusalemu umbali upatao kilomita tatu.
now bethany was nigh unto jerusalem, about fifteen furlongs off:
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
picha za tukio hilo la kijiji cha nyololo zilisambaa kwa kasi sana katika mitandao ya kijamii.
pictures of the incident in nyololo village quickly circulated on social media sites.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
mkazi mmoja wa kijiji cha oak kyin alisema siku ya tarehe 26 machi saa 6 mchana:
one resident in oak kyin village said on march 26, around 12pm:
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kimbunga haiyan kilichosababisha meli kukwama katika eneo la leyte na kuharibu nyumba katika kijiji cha pwani.
typhoon haiyan caused a ship to ran aground in leyte, destroying houses in a crowded coastal village.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
wakiawaaga baadhi ya watoto yatima (picha kutoka katika tovuti rasmi ya kijiji cha matumaini)
saying goodbye to some of the orphans (photo from the village of hope official website)
Dernière mise à jour : 2023-09-08
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
zaidi ya wanablogu 20 wa misri wametiwa mbaroni mara baada ya gari moshi walilokuwa wakisafiria kuwasili katika kijiji cha naga hammady huko misri ya juu.
more than 20 egyptian bloggers were arrested when their train arrived in the village of naga hammady in upper egypt.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kwa mara nyingine tena msichana mzawa ameuliwa mara baada ya kufanyiwa ukatili kwa kubakwa katika kijiji cha borodalupara, kawkhali upazila ya wilaya ya rangamati.
once again an indigenous girl was killed after being brutally raped in borodalupara village, kawkhali upazila of rangamati district.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
tovuti rasmi ya kijiji cha matumaini kina tamko, ambalo limekubalika na wafanyakazi wote ambao walitakiwa kuondoka nchini humo, ambalo linasomeka:
the village of hope's official web site hosts a statement, endorsed by all of the staff members who were asked to leave the country, which reads:
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kwa wale walio katika mji wa maralal unaweza kututembelea katika kijiji cha shabaa. baadhi ya watu wakiangalia umbali kutoka shule ya sekondari ya samburu mixed. ili kukuamuru silage au bales
for those in maralal town you can visit us in shabaa village. just some view distances from samburu mixed secondary school. to order you silage or bales
Dernière mise à jour : 2024-06-29
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
ni miaka miwili sasa tangu jumla ya watu 80 kupoteza maisha katika mililipuko ya mabomu katika klubu ya mcheo wa rugby huko kyaddondo na katika baa ya kijiji cha ki-ethipoia nchini uganda.
it's exactly two years since over 80 people died in bomb blasts at kyaddondo rugby club and ethiopian village bar, uganda.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
baada ya mashambulizi dhidi ya wafuasi wa morsy ambapo zaidi ya watu 600 walifariki, wafuasi wa morsy walikusanyika baada ya swala ya ijumaa wakavamia na kuchoma makanisa mawili, na baadhi ya maduka yanayomilikiwa na wakristo katika kijiji cha mallawi.
after the attack on the pro-morsy sit in where more than 600 people died, morsy supporters gathered after friday prayer storming and burning two churches, and some christian owned shops in the village of mallawi.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
siku moja yesu alikuwa akifundisha. mafarisayo na walimu wa sheria kutoka katika kila kijiji cha galilaya, yudea na yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. nguvu ya bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
and it came to pass on a certain day, as he was teaching, that there were pharisees and doctors of the law sitting by, which were come out of every town of galilee, and judaea, and jerusalem: and the power of the lord was present to heal them.
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
jina lang ni aisha haji mdimu ni mtanzania natokea mkoa wa tanga wilaya ya lushoto kijiji cha mbelei katika umri wa miaka 14 nlkua darasa la saba katika shule ya msingi namba baada ya kuhitimu nlifaulu na kujiunga na kidato cha kwanza mbelei sekondari nikiwa na miaka 15 ambapo ni mwaka 2017 nliendelea mbele na kuhitimu kidato cha nne mwaka 2020 miaka hyo yote niliishi na wazazi wangu mkoani tanga nlianza kujishughulisha na kilimo cha mbogamboga na ufugaji wa kuku baada ya muda nlianza kufany bia
lang's name is aisha haji mdimu is a tanzanian and from the tanga region of lushoto district in the village of mbelei at the age of 14 nlkua seventh grade in primary school number after graduating i graduated and joined form 1 at 15 years old which is 2017 i went ahead and graduated form 4 in 2020 all the years i lived with my parents in tanga region i started to engage in agriculture. vegetables and chicken farming after a while i started to make beer
Dernière mise à jour : 2023-12-18
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
tumesikitishwa sana na vifo vya watu na uharibifu uliosababishwa na mafuriko katika kijiji cha katesh mkoani manyara. mawazo na maombi yetu ni pamoja na wale ambao wamepoteza maisha yao, wapendwa wao na nyumba zao. tunasimama pamoja na serikali na taifa zima, kutoa msaada wetu wakati huu mgumu.
we are profoundly saddened by the tragic loss of life and the devastation caused by the floods in katesh village in manyara region. our thoughts and prayers are with those who have lost their lives, their loved ones and their homes. we stand united with the government and the entire nation, offering our support during this grievous moment.
Dernière mise à jour : 2023-12-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kuanzia tarehe 4 januari, moroko imekuwa na waziri mpya wa sheria, mohammad naciri, ambaye anahisi ni lazima atumie nguvu zake ili afunge kijiji cha matumaini kwa sababu anaamini “wakristu wanawashawishi watu wabadili dini.”
as of january 4th, morocco has a new minister of justice (ironic) mohammad naciri, one who feels he must exercise his power in order to shut down the village of hope because he believes "christians are proselytizing."
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent
mti wa aina ya m-dita wenye futi 40 ulikuwa kimbilio la hifadhi kwa watu 36 wa familia saba huko barangay bagong silangan (kijiji cha new east), kwenye mji wa quezon, metro manila wakati maji yalipofurika tarehe 26 septemba.
a 40-fee dita tree became a refuge for 36 members of 7 families in barangay bagong silangan (new east village), quezon city, metro manila as flood waters rose last september 26.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
muinuko kumbukumbu za mzee juma katika kijiji cha mamboleo, aliishi mzee mmoja aitwaye juma. alikuwa na desturi ya kukutana na vijana wa kijiji kila jioni chini ya mti mkubwa wa mwembe, akiwapa nasaha na hadithi za kale. siku moja, aligundua kuwa vijana wengi walikuwa wamesahau mila na desturi za jamii yao, wakivutiwa zaidi na tamaduni za kigeni. mzee juma aliamua kuwakumbusha umuhimu wa asili yao. alisimulia hadithi ya kijana aliyesafiri kwenda mbali kutafuta hazina, lakini mwishowe aligundua kuwa hazina aliyotafuta ilikuwa nyumbani kwake, katika familia na utamaduni wake. vijana waliguswa na hadithi hiyo, wakitambua thamani ya mila zao na umuhimu wa kuzihifadhi. tangu siku hiyo, vijana wa mamboleo walianza kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijiji, wakijifunza na kuheshimu desturi zao. mzee juma alifurahia kuona kizazi kipya kikikumbuka na kuthamini urithi wao, akijua kuwa kumbukumbu za jamii yao zingeendelea kuishi kupitia wao. maadili: hadithi hii inatufundisha umuhimu wa kuthamini na kuhifadhi mila na desturi zetu, kwani ndizo zinazotutambulisha na kutupa utambulisho katika jamii.
elevated
Dernière mise à jour : 2025-01-02
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Certaines traductions humaines peu pertinentes ont été masquées.
Affichez les résultats peu pertinents.