Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
giza totoro litazifunika,
and covered by darkness.
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
mara ghafla aligeuka na kutokomea kwenye giza.
he abruptly turned away and walked into the darkness.
Dernière mise à jour : 2023-09-18
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
port au prince iko kwenye giza isipokuwa kwa mioto michache
port au prince is dark except for a few fires
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
na tulimtuma musa pamoja na miujiza yetu, tukamwambia: watoe watu wako kwenye giza uwapeleke kwenye mwangaza.
we sent moses and gave him miracles in order to lead his people from darkness into light and to remind them of the days of god.
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
na tulimtuma musa pamoja na miujiza yetu, tukamwambia: watoe watu wako kwenye giza uwapeleke kwenye mwangaza. na uwakumbushe siku za mwenyezi mungu.
and assuredly we sent musa with our signs saying: bring thy people forth from the darknesses unto the light, and remind them of the annals of allah.
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
hichi ni kitabu tulicho kiteremsha kwako ili uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muwangaza, kwa idhini ya mola wao mlezi, uwafikishe kwenye njia ya mwenye nguvu, msifiwa,
(this is) a scripture which we have revealed unto thee (muhammad) that thereby thou mayst bring forth mankind from darkness unto light, by the permission of their lord, unto the path of the mighty, the owner of praise,
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
rt @patrickgaley: shahidi naame “tuliona mlipuko kama jua angani, ulikuwa pale kwa sekunde chache halafu ukatokomea kwenye giza” #et409
rt @patrickgaley: eyewitness naame "we saw an explosion in the sky like the sun, it was there for seconds then vanished into darkness"#et409
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent
inaanza kwa picha ya kompyuta kwenye chumba, na wakati ardhi ilivyokuwa ikisogea mingurumo ya ardhi inaweza kusikika, halafu taa zilizimikana tunaachwa kwenye giza, na kusikia sauti pekee ya mwanamke na mwanaume ambaye tunadhani ndio aliyekuwa amebeba kamera akijaribu kumtuliza.
it starts with a shot of a computer in a room, and as the earth moves the rumble of the earth can be heard, then the lights go out and we are left in the dark, hearing only the voices of a woman and a man we assume to be the one holding the camera trying to calm her down.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
“nimekuwa nikisikia mara nyingi juu ya ukosefu wa vyoo kwa wanawake au ukosefu wa vyoo kwa ujumla; kwamba wasichana wa rika la kuwa wali huko mashambani huamka saa 10 za alfajiri kwenda nje kwenye giza kufanya shughuli zao ili wasitaniwe na wavulana shuleni au huacha kwenda shule kabisa.
"i’ve heard so often about the lack of toilet facilities for women or lack of toilets in general; that teenage girls in the countryside get up at 4 am to go out in the dark to do their business so they don’t get bullied by the boys at school or stop going to school altogether.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent
(a. l. r.) hichi ni kitabu tulicho kiteremsha kwako ili uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muwangaza, kwa idhini ya mola wao mlezi, uwafikishe kwenye njia ya mwenye nguvu, msifiwa,
(this is) a book which we have revealed to you that you may bring forth men, by their lord's permission from utter darkness into light-- to the way of the mighty, the praised one,
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
himidi zote zinamstahiki mwenyezi mungu aliyetupa utulivu wa imani ya uislamu. rehma na amani ziwe juu ya mtume muhammad r aliyewaongoza watu kutoka kwenye giza kwenda kwenye nuru. kila binadamu mwenye akili timamu anafahamu kuwa ulimwengu huu umeumbwa kwa lengo maalum. ili kutimiza lengo hili allah mtukufu aliwatuma mitume mbalimbali pamoja na dini ili kuwaongoza watu. dini zote hizi kimsingi ni moja na zimeitwa uislamu. uislamu ni zawadi kubwa ambao allah alimtunuku mwanadamu kwa sababu
all praise belongs to god who has given us the tranquility of islam's faith. may peace and blessings be upon the prophet muhammad, who led the people from darkness to light. every reasonable human being knows that this world was created for a specific purpose. in order to accomplish this purpose allah almighty sent various prophets as well as religions to guide the people. all these religions are basically one and have been called islam. islam is the greatest gift that god has bestowed upon man because
Dernière mise à jour : 2024-09-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :