Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
mafarakano
divisions and disagreements
Dernière mise à jour : 2021-06-16
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Référence:
basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu.
so there was a division among the people because of him.
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Référence:
mtu anayesababisha mafarakano mpe onyo la kwanza na la pili, kisha achana naye.
a man that is an heretick after the first and second admonition reject;
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Référence:
awali ya yote, nasikia kwamba mnapokutana pamoja hutokea mafarakano kati yenu. nami naamini kiasi,
for first of all, when ye come together in the church, i hear that there be divisions among you; and i partly believe it.
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Référence:
hao ndio watu wanaosababisha mafarakano, watu wanaotawaliwa na tamaa zao za kidunia, watu wasio na roho wa mungu.
these be they who separate themselves, sensual, having not the spirit.
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Référence:
ndugu zangu, nawasihi muwafichue wote wanaosababisha mafarakano na kuwafanya watu wengine waanguke, kinyume cha mafundisho mliyofundishwa. jiepusheni na watu hao,
now i beseech you, brethren, mark them which cause divisions and offences contrary to the doctrine which ye have learned; and avoid them.
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Référence:
ndugu, ninawasihi kwa jina la bwana wetu yesu kristo: pataneni nyote katika kila jambo msemalo; yasiweko mafarakano kati yenu; muwe na fikira moja na nia moja.
now i beseech you, brethren, by the name of our lord jesus christ, that ye all speak the same thing, and that there be no divisions among you; but that ye be perfectly joined together in the same mind and in the same judgment.
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Référence:
baadhi ya mafarisayo wakasema, "mtu huyu hakutoka kwa mungu, maana hashiki sheria ya sabato." lakini wengine wakasema, "mtu mwenye dhambi awezaje kufanya ishara za namna hii?" kukawa na mafarakano kati yao.
therefore said some of the pharisees, this man is not of god, because he keepeth not the sabbath day. others said, how can a man that is a sinner do such miracles? and there was a division among them.
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Référence:
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent