Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, "anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate."
and they reasoned among themselves, saying, it is because we have no bread.
tulienda kwa kutumia njia zisizo rasmi na kupitia jangwani huku tukilazimika kusimama mara kwa mara katika vijiji vidogo kununua mikate na kutengeneza matairi ya gari.
we went on off-road tracks and through the desert stopping occasionally in small villages to buy bread or repair the tyres.
yesu akawajibu, "kweli nawaambieni, mnanitafuta si kwa kuwa mmeona ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba.
jesus answered them and said, verily, verily, i say unto you, ye seek me, not because ye saw the miracles, but because ye did eat of the loaves, and were filled.
filipo akamjibu, "mikate ya denari mia mbili za fedha haiwatoshi watu hawa hata kama ila mmoja atapata kipande kidogo tu!"
philip answered him, two hundred pennyworth of bread is not sufficient for them, that every one of them may take a little.
sisi, baada ya sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu, tulipanda meli kutoka filipi na baada ya siku tatu tukawafikia kule troa. huko tulikaa kwa muda wa juma moja.
and we sailed away from philippi after the days of unleavened bread, and came unto them to troas in five days; where we abode seven days.
yesu akaitwaa ile mikate, akamshukuru mungu, akawagawia watu waliokuwa wameketi; akafanya vivyo hivyo na wale samaki, kila mtu akapata kadiri alivyotaka.
and jesus took the loaves; and when he had given thanks, he distributed to the disciples, and the disciples to them that were set down; and likewise of the fishes as much as they would.
na mwingine akasema: mimi nimeota nimebeba mikate juu ya kichwa changu, na ndege wanaila. hebu tuambie tafsiri yake, kwani sisi tunakuona wewe ni katika watu wema.
and two young men went to prison along with him; one of them said, “i dreamt that i am pressing wine”; the other said, “i dreamt that i am carrying some bread upon my head from which birds were eating”; “tell us their interpretation; indeed we see that you are virtuous.”
mmoja wao akasema: hakika mimi nimeota nakamua mvinyo. na mwingine akasema: mimi nimeota nimebeba mikate juu ya kichwa changu, na ndege wanaila.
one of them said: "i saw myself pressing wine in a dream"; and the other said: "i saw myself carrying bread on my head of which the birds were eating."
kisha yesu akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru mungu, akaimega mikate, akawapa wanafunzi wake wawagawie watu. na wale samaki wawili pia akawagawia wote.
and when he had taken the five loaves and the two fishes, he looked up to heaven, and blessed, and brake the loaves, and gave them to his disciples to set before them; and the two fishes divided he among them all.