Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
kila mwaka mamilioni ya waislamu husafiri kwenda maka kuhiji, moja ya nguzo tano za uislamu.
every year millions of muslims converge to mecca to perform hajj (pilgrimage), one of the five pillars of islam.
hoja ilikuwa kwamba hija haijawahi kufutwa kwa minajili tu ya kiafya na kwamba kufanya hivyo kungekuwa kuukiuka uislamu.
the argument was that haj had never been canceled on public health grounds and that to do so would be counter to islam.
na ni nani mwenye kudhulumu zaidi kuliko yule anaye mzulia mwenyezi mungu uwongo, naye anaitwa kwenye uislamu?
and who does greater evil than he who forges a lie against allah, when he is being called to islam?
au “uislamu ni kwenda na wakati,” unaweza kusikia wakijitetea wakati wakigida mvinyo mkali kama vodka.
or "islam is all about moderation," they may argue, just before passing out in a puddle of vodka and vomit.
na, uhindu, dini ya buddha, dini ya sikh, uyahudi na uislamu huagiza kuosha mikono kabla ya na kila baada ya kula chakula.
and, hinduism, buddhism, sikhism, judaism and islam mandate washing of hands before and after every meal.
na ni nani mwenye kudhulumu zaidi kuliko yule anaye mzulia mwenyezi mungu uwongo, naye anaitwa kwenye uislamu? na mwenyezi mungu hawaongoi watu madhaalimu.
and who is more unjust than he who forges a lie against allah and he is invited to islam, and allah does not guide the unjust people.
basi yule ambaye mwenyezi mungu anataka kumhidi humfungulia kifua chake kwa uislamu. na anaye taka apotee hukifanya kifua chake kina dhiki, kimebana, kama kwamba anapanda mbinguni.
and whomever allah wills to guide, he opens his bosom for islam; and whomever he wills to send astray, he makes his bosom narrow and firmly bound as if he were being forced by someone to climb the skies; this is how allah places the punishment on those who do not believe.
enyi mlio amini! ingieni katika uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za she'tani; hakika yeye kwenu ni adui aliye wazi.
believers, all of you, enter the peace and do not follow in satan's footsteps; he is a clear enemy to you.
abdulaziz al-shihri alitwiti: "askari kanzu hawana si tu ukarimu uliokuwepo kabla ya uislamu, bali hata maadili ya baada ya kuwepo uislamu.
abdulaziz al-shihri tweeted: "secret police do not have either pre-islam generosity, nor post-islam ethics.