Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
wengi wa wa-tanzania wa tabaka la kati na la juu ambao wanahusudu utandawazi watafanya kila wanaloweza kuwapeleka watoto wao kwenye shule zinazofundisha kiingereza.
majority of tanzanian middle and all upper classes who have identified with the global village will do anything to take their children to english medium schools.
huku lugha zinazopotea nyingi zake ni zile za watu watu wa makabila wanaokumbwa na utandawazi na utaifa wa dola, daniel moving out, blogu ya mwanablogu wa kireno anayeishi uingereza kwa sasa, inasema siyo lugha zote "zisizo rasmi" ambazo zinakufa.
while disappearing languages are mostly those of indigenous peoples faced with globalization and state-nationalism, daniel moving out, a blog by a portugal native now in the uk, says not all “unofficial” languages are dying out: