Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo maandiko: aliwalisha mkate kutoka mbinguni."
آباؤنا اكلوا المّن في البرية كما هو مكتوب انه اعطاهم خبزا من السماء ليأكلوا
kwa hiyo, kila aulaye mkate huo au kunywa kikombe cha bwana bila kustahili, atakuwa na hatia dhidi ya mwili na damu ya bwana.
اذا اي من اكل هذا الخبز او شرب كاس الرب بدون استحقاق يكون مجرما في جسد الرب ودمه.
waliendelea kukutana pamoja kila siku hekaluni. lakini wakati wa kumega mkate, walikutana katika nyumba zao na wakakishiriki chakula hicho kwa furaha na moyo mkunjufu.
وكانوا كل يوم يواظبون في الهيكل بنفس واحدة. واذ هم يكسرون الخبز في البيوت كانوا يتناولون الطعام بابتهاج وبساطة قلب
jumamosi jioni, tulikutana ili kumega mkate. kwa vile paulo alikuwa amekusudia kuondoka kesho yake, aliwahutubia watu na kuendelea kuongea nao hadi usiku wa manane.
وفي اول الاسبوع اذ كان التلاميذ مجتمعين ليكسروا خبزا خاطبهم بولس وهو مزمع ان يمضي في الغد واطال الكلام الى نصف الليل.
ikiwa kipande cha kwanza cha mkate kimewekwa wakfu, mkate wote umewekwa wakfu; mizizi ya mti ikiwa mizuri, na matawi yake huwa mazuri pia.
وان كانت الباكورة مقدسة فكذلك العجين. وان كان الاصل مقدسا فكذلك الاغصان.
mimi ni mkate hai ulioshuka kutoka mbinguni. mtu yeyote akila mkate huu ataishi milele. na mkate nitakaompa ni mwili wangu ninaoutoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu."
انا هو الخبز الحي الذي نزل من السماء. ان اكل احد من هذا الخبز يحيا الى الابد. والخبز الذي انا اعطي هو جسدي الذي ابذله من اجل حياة العالم
tunapomshukuru mungu kwa kikombe kile cha baraka, je, huwa hatushiriki damu ya kristo? na tunapoumega mkate, je, huwa hatushiriki mwili wa kristo?
كاس البركة التي نباركها أليست هي شركة دم المسيح. الخبز الذي نكسره أليس هو شركة جسد المسيح.
walipokuwa wanakula, yesu alitwaa mkate, akashukuru, akaumega na kuwapa wanafunzi wake akisema, "twaeni; huu ni mwili wangu."
وفيما هم يأكلون اخذ يسوع خبزا وبارك وكسر واعطاهم وقال خذوا كلوا هذا هو جسدي.