Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
#dershowitz nitakubaliana kabisa na wewe kuwa afrika kusini ni nchi iliyokwama na isiyoongwa kwa sheria, wahalifu wanatembea kifua mbele na hata oscar hatakwenda jela ingawa tunajua ni muuaji
dershowitz, totalmente de acuerdo contigo sa es un paÍs fallido y sin ley, los criminales están libres, ni siquiera oscar irá a la carcel y es un asesino
je! yule ambaye mwenyezi mungu amemfungulia kifua chake kwa uislamu, na akawa yuko kwenye nuru itokayo kwa mola wake mlezi (ni sawa na mwenye moyo mgumu?)
¿es que aquél cuyo pecho alá ha abierto al islam y camina así a la luz de su señor...?
basi labda utaacha baadhi ya yale yaliyo funuliwa kwako, na kifua kitaona dhiki kwa hayo, kwa sababu wanasema: mbona hakuteremshiwa khazina, au wakaja naye malaika?
tú, quizás, omitirías parte de lo que se te ha revelado -y te angustias por ello- porque dicen: «¿por qué no se le ha enviado abajo un tesoro o le ha acompañado un ángel?»
lakini yule mtoza ushuru, akiwa amesimama kwa mbali bila hata kuinua macho yake mbinguni, ila tu akijipiga kifua kwa huzuni, alisema: ee mungu, unionee huruma mimi mwenye dhambi.
pero el publicano, de pie a cierta distancia, no quería ni alzar los ojos al cielo, sino que se golpeaba el pecho, diciendo: 'dios, sé propicio a mí, que soy pecador.
anaye mkataa mwenyezi mungu baada ya kuamini kwake - isipo kuwa aliye lazimishwa na hali ya kuwa moyo wake umetua juu ya imani, lakini aliye kifungulia kifua chake kukataa - basi hao ghadhabu ya mwenyezi mungu ipo juu yao, na wao watapata adhabu kubwa.
quien no crea en alá luego de haber creído -no quien sufra coacción mientras su corazón permanece tranquilo en la fe, sino quien abra su pecho a la incredulidad-, ese tal incurrirá en la ira de alá y tendrá un castigo terrible.