Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
na hakika tumewafadhilisha baadhi ya manabii kuliko wengine; na daudi tulimpa zaburi.
et parmi les prophètes, nous avons donné à certains plus de faveurs qu'à d'autres. et à david nous avons donné le «zabûr».
mkumbuke yesu kristo aliyefufuliwa kutoka wafu, aliyekuwa wa ukoo wa daudi, kama isemavyo habari njema ninayoihubiri.
souviens-toi de jésus christ, issu de la postérité de david, ressuscité des morts, selon mon Évangile,
subiri kwa hayo wayasemayo, na umkumbuke mja wetu daudi, mwenye nguvu. hakika yeye alikuwa mwingi wa kutubia.
endure ce qu'ils disent; et rappelle-toi david, notre serviteur, doué de force [dans l'adoration] et plein de repentir [à allah].
na kwa sababu ya nguvu ya kisheria goliati ana uwezo wa kupanga matokeo mara nyingi zaidi kuliko daudi kutokana na uwezo mkubwa wa kifedha alionao.
et parce que la force de frappe judiciaire que goliath peut déclencher est x fois plus puissante que les moyens financiers limités dont dispose david.
yosefu pia alifanya safari kutoka mjini nazareti mkoani galilaya. kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa daudi alikwenda mjini bethlehemu mkoani yuda alikozaliwa mfalme daudi.
joseph aussi monta de la galilée, de la ville de nazareth, pour se rendre en judée, dans la ville de david, appelée bethléhem, parce qu`il était de la maison et de la famille de david,
"daudi mwenyewe anamwita kristo bwana. basi, kristo atakuwaje mwanae?" umati wa watu ulikuwa ukimsikiliza kwa furaha.
david lui-même l`appelle seigneur; comment donc est-il son fils? et une grande foule l`écoutait avec plaisir.
aliposikia kwamba ni yesu wa nazareti aliyekuwa anapita mahali hapo, alianza kupaaza sauti, "yesu, mwana wa daudi, nihurumie!"
il entendit que c`était jésus de nazareth, et il se mit à crier; fils de david, jésus aie pitié de moi!
--kwa idhini ya mwenyezi mungu waliwatimua, na daudi akamuuwa jaluti, na mwenyezi mungu akampa daudi ufalme na hikima, na akamfundisha aliyo yapenda.
ils les mirent en déroute, par la grâce d'allah. et david tua goliath; et allah lui donna la royauté et la sagesse, et lui enseigna ce qu'il voulut.