Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
kwa kosa gani aliuliwa?
per quale colpa sia stata uccisa,
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kosa wakati wa kufuta
errore durante l'eliminazione.
Dernière mise à jour : 2014-08-15
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kulikuwepo na kosa kufuta %b.
si è verificato un errore nell'eliminare «%b».
Dernière mise à jour : 2014-08-15
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
hebu rudisha nadhari! unaona kosa lolote?
osserva, vedi una qualche fenditura?
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kosa wakati wa kuhamisha faili kwenda kwenye pipa-taka
errore durante lo spostamento dei file nel cestino.
Dernière mise à jour : 2014-08-15
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kulikuwepo na kosa kuhamisha faili kwenda ndani ya %f.
si è verificato un errore nello spostare il file all'interno di «%f».
Dernière mise à jour : 2014-08-15
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
na mkifanya hivyo basi hakika hilo ni kosa kwenu. na mcheni mwenyezi mungu.
temete allah, è allah che vi insegna.
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
marafiki zake walishakamatwa na kukiri makosa yao lakini khutore hajataka kukiri kosa hilo la mauaji.
gli amici sono stati arrestati e hanno confessato l'omicidio, ma khutore è ancora latitante.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
au, waache hawa walio hapa waseme kosa waliloliona kwangu wakati niliposimama mbele ya baraza lao kuu,
oppure dicano i presenti stessi quale colpa han trovato in me quando sono comparso davanti al sinedrio
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
itawafikia hao walio kosa udhalili na adhabu kali kutoka kwa mwenyezi mungu kwa sababu ya vitimbi walivyo kuwa wakivifanya.
l'umiliazione di fronte ad allah e un castigo crudele, colpiranno quelli che peccarono a causa delle loro trame!
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
sema: ikiwa nimeizua, basi kosa hilo ni juu yangu, na mimi sikhusiki na makosa myatendayo.
di': “se l'ho inventato, che la colpa ricada su di me. non sono colpevole di ciò di cui mi accusate”.
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kosa la kukashifu imani linaelezwa katika kifungu cha sheria namba 295 cha hukumu za pakistani ambapo mshitakiwa akikutwa na hatia anaweza kufungwa kifungo cha maisha ama hukumu ya kifo.
il reato di blasfemia è punito dall' articolo 295-b del codice penale e il colpevole rischia il carcere a vita o la pena di morte.
Dernière mise à jour : 2016-02-24
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
(musa) akasema: ala! umemuuwa mtu asiye na kosa, na wala hakuuwa!
insorse [mosè]: “hai ucciso un incolpevole, senza ragione di giustizia?
Dernière mise à jour : 2014-07-03
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
wala si mimi tu, bali hata herode hakuona kosa lolote, kwa maana amemrudisha kwangu. ni dhahiri kwamba mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya kifo.
e neanche erode, infatti ce l'ha rimandato. ecco, egli non ha fatto nulla che meriti la morte
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
basi adamu akalala na hawa mke wake naye akapata mimba.+ baada ya muda akamzaa kaini+ na kusema: “nimezaa mwanamume kwa msaada wa yehova.”+ 2 baadaye akazaa tena, abeli+ ndugu yake. naye abeli akawa mchungaji wa kondoo,+ bali kaini akawa mkulima wa udongo.+ 3 ikawa kwamba baada ya wakati fulani kwisha kaini akaleta mazao ya udongo+ yawe toleo kwa yehova.+ 4 abeli naye akaleta baadhi ya wazaliwa wa kwanza+ wa kundi lake, pia vipande vyao vyenye mafuta.+ ingawa yehova alikuwa akimtazama abeli na toleo lake kwa kibali,+ 5 hakumtazama kaini na toleo lake kwa kibali chochote.+ ndipo kaini akawaka hasira,+ na uso wake ukaanza kukunjamana. 6 basi yehova akamwambia kaini: “kwa nini umewaka hasira na kwa nini uso wako umekunjamana? 7 ukigeuka utende mema, je, hutainuliwa?+ lakini usipogeuka utende mema, kuna dhambi inayovizia katika mwingilio, nayo inakutamani+ wewe. je, wewe utaishinda?”+ 8 baada ya hayo kaini akamwambia abeli ndugu yake: “twende shambani.” basi ikawa kwamba walipokuwa shambani kaini akamshambulia abeli ndugu yake, akamuua.+ 9 baadaye yehova akamuuliza kaini: “yuko wapi abeli ndugu yako?”+ naye akasema: “sijui. kwani mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”+ 10 kwa hiyo akasema: “umefanya nini? sikiliza! damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.+ 11 na sasa umelaaniwa kwa kufukuzwa kutoka katika udongo,+ ambao umefungua kinywa chake ili kupokea damu ya ndugu yako kwa mkono wako.+ 12 utakapoulima udongo, hautakurudishia nguvu zake.+ utakuwa mwenye kutanga-tanga na mkimbizi duniani.”+ 13 kwa hiyo kaini akamwambia yehova: “adhabu yangu ya kosa ni kubwa mno, haichukuliki. 14 tazama unanifukuza leo kutoka usoni pa udongo, nami nitafichwa kutoka usoni pako;+ nami nitakuwa mwenye kutanga-tanga+ na mkimbizi duniani, na itakuwa kwamba yeyote atakayenikuta ataniua.”+ 15 ndipo yehova akamwambia: “kwa sababu hiyo yeyote anayemuua kaini atalipizwa kisasi mara saba.”+ hivyo yehova akaweka ishara kwa ajili ya kaini ili kwamba yeyote anayemkuta asimpige.+ 16 ndipo kaini akaenda zake kutoka usoni pa yehova+ na kukaa katika nchi ya ukimbizi upande wa mashariki wa edeni. 17 baadaye kaini akalala na mke wake+ naye akapata mimba, akamzaa enoko. kisha akajishughulisha na ujenzi wa jiji, akaliita hilo jiji kwa jina la mwana wake enoko.+ 18 baadaye enoko akazaa mwana anayeitwa iradi. na iradi akamzaa mehuyaeli, na mehuyaeli akamzaa methushaeli, na methushaeli akamzaa lameki. 19 na lameki akajichukulia wake wawili. jina la wa kwanza lilikuwa ada na jina la wa pili lilikuwa zila. 20 baada ya muda ada akamzaa yabali. akawa mwanzilishi wa wale wanaokaa katika mahema+ na walio na mifugo.+ 21 na jina la ndugu yake lilikuwa yubali. akawa mwanzilishi wa wote wanaotumia kinubi+ na zumari.+ 22 zila naye pia akamzaa tubal-kaini, mfuaji wa kila namna ya vifaa vya shaba na chuma.+ na dada yake tubal-kaini alikuwa naama. 23 basi lameki akatunga maneno haya kwa ajili ya wake zake ada na zila: “sikieni sauti yangu, enyi wake za lameki; tegeni sikio kwa maneno yangu: nimemuua mtu kwa kunitia jeraha, naam, kijana kwa kunipiga. 24 ikiwa kaini atalipizwa kisasi mara 7,+ basi lameki ni mara 77.” 25 naye adamu akalala na mke wake tena naye akazaa mwana, akamwita jina lake sethi,+ kwa sababu, kama alivyosema: “mungu amenichagulia uzao mwingine badala ya abeli, kwa sababu kaini alimuua.”+ 26 na sethi akazaa mwana pia naye akamwita jina lake enoshi.+ wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la yehova.+
ora adamo ebbe rapporti con eva sua moglie ed essa rimase incinta.+ a suo tempo essa partorì caino*+ e disse: “ho prodotto* un uomo con l’aiuto di geova”.+ 2 poi ancora partorì abele,+ suo fratello. e abele diveniva pastore di pecore,+ ma caino divenne coltivatore del suolo.+ 3 e avvenne che dopo qualche tempo* caino portava dei frutti del suolo+ come offerta a geova.+ 4 ma in quanto ad abele, anche lui portò dei primogeniti+ del suo gregge, perfino i loro pezzi grassi.+ ora mentre geova guardava con favore ad abele e alla sua offerta,+ 5 non guardò con alcun favore a caino e alla sua offerta.+ e caino si accese di grande ira,+ e il suo viso era dimesso. 6 allora geova disse a caino: “perché ti accendi d’ira e perché il tuo viso è dimesso? 7 se ti volgi per fare il bene, non ci sarà un’esaltazione?+ ma se non ti volgi per fare il bene, il peccato è in agguato all’ingresso, e la sua brama è verso di te;+ e tu, da parte tua, lo dominerai?”+ 8 dopo ciò caino disse ad abele suo fratello: [“andiamo nel campo”.]* avvenne dunque che mentre erano nel campo caino assaliva abele suo fratello e lo uccideva.+ 9 geova disse poi a caino: “dov’è abele tuo fratello?”+ ed egli disse: “non lo so. sono io il guardiano di mio fratello?”+ 10 a ciò disse: “che hai fatto? ascolta!* il sangue* di tuo fratello grida a me dal suolo.+ 11 e ora sei maledetto, al bando dal suolo,+ che ha aperto la sua bocca per ricevere il sangue di tuo fratello dalla tua mano.+ 12 quando coltiverai il suolo, non ti renderà la sua potenza.*+ diverrai vagante e fuggiasco sulla terra”.+ 13 a ciò caino disse a geova: “la mia punizione per l’errore è troppo grande da portare. 14 ecco, in questo giorno mi cacci effettivamente dalla superficie del suolo, e sarò nascosto alla tua faccia;+ e dovrò divenire vagante+ e fuggiasco sulla terra, ed è certo che chiunque mi troverà mi ucciderà”.+ 15 a ciò geova gli disse: “per tale ragione* chiunque ucciderà caino dovrà subire vendetta sette volte”.+ e geova pose dunque un segno per caino perché nessuno, trovandolo, lo colpisse a morte.+ 16 allora caino se ne andò dalla faccia di geova+ e prese a dimorare nel paese di fuga* ad oriente dell’eden. 17 caino ebbe poi rapporti con sua moglie+ ed essa rimase incinta e partorì enoc. quindi si mise a edificare una città e, dal nome di suo figlio, diede alla città il nome di enoc.+ 18 a enoc nacque poi irad. e irad generò mehuiael, e mehuiael generò metusael, e metusael generò lamec. 19 e lamec prendeva per sé due mogli. il nome della prima era ada e il nome della seconda era zilla. 20 a suo tempo ada partorì iabal. egli mostrò d’essere il fondatore di quelli che dimorano in tende+ e hanno bestiame.+ 21 e il nome di suo fratello era iubal. egli mostrò d’essere il fondatore* di tutti quelli che maneggiano l’arpa+ e il flauto.*+ 22 in quanto a zilla, essa pure partorì tubal-cain, forgiatore* di ogni sorta di arnese di rame e di ferro.+ e la sorella di tubal-cain fu naama. 23 di conseguenza lamec compose queste parole* per le sue mogli ada e zilla: “udite la mia voce, mogli di lamec; prestate orecchio al mio dire:* ho ucciso un uomo* perché mi ha ferito,* sì, un giovane perché mi ha dato un colpo.* 24 se caino dev’essere vendicato sette volte,+ allora lamec settanta volte e sette”. 25 e adamo aveva di nuovo rapporti con sua moglie ed essa partorì quindi un figlio e gli mise nome set,*+ perché, come essa disse: “dio ha costituito un altro seme* in luogo di abele, perché caino l’ha ucciso”.+ 26 e anche a set nacque un figlio e gli metteva nome enos.+ in quel tempo si cominciò a invocare il nome di geova.+