Apprendre à traduire à partir d'exemples de traductions humaines.
Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
wale watu walimpigia kelele za shangwe wakisema, "hii ni sauti ya mungu, si ya mtu."
il popolo acclamava: «parola di un dio e non di un uomo!»
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent
hivyo, kesho yake, agripa na bernike walifika kwa shangwe katika ukumbi wa mkutano wakiwa wameandamana na wakuu wa majeshi na viongozi wa mji. festo aliamuru paulo aletwe ndani,
il giorno dopo, agrippa e berenìce vennero con gran pompa ed entrarono nella sala dell'udienza, accompagnati dai tribuni e dai cittadini più in vista; per ordine di festo fu fatto entrare anche paolo
Dernière mise à jour : 2012-05-06
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kwa hiyo mkaribishane, kama vile kristo pia alivyotukaribisha sisi, kwa kusudi la kumpa mungu utukufu. kwa maana nasema kwamba kwa kweli kristo alikuwa mhudumu wa wale waliotahiriwa kwa ajili ya ukweli wa mungu, ili kuthibitisha ahadi ambazo yeye aliwapa mababu zao, na kwamba mataifa yamtukuze mungu kwa ajili ya rehema yake. kama ilivyoandikwa: “ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitalipigia jina lako muziki.” naye anasema tena: “furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake.” na tena: “msifuni yehova, enyi mataifa yote, na vikundi vyote vya watu vimsifu yeye.” na tena isaya anasema: “patakuwa na mzizi wa yese, na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa; na mataifa yatamtumainia yeye.” mungu anayetoa tumaini na awajaze ninyi shangwe yote na amani kwa kuamini kwenu, ili mzidi katika tumaini kwa nguvu za roho takatifu.
perciò accoglietevi gli uni gli altri, come anche il cristo accolse noi, in vista della gloria di dio. poiché dico che cristo divenne effettivamente ministro di quelli che sono circoncisi a favore della veracità di dio, per confermare le promesse che egli aveva fatto ai loro antenati, e affinché le nazioni glorifichino dio per la sua misericordia. come è scritto: “per questo ti riconoscerò apertamente fra le nazioni e innalzerò melodie al tuo nome. e di nuovo dice: “rallegratevi, nazioni, col suo popolo”. e di nuovo: “lodate geova, nazioni tutte, e tutti i popoli lo lodino”. e di nuovo isaia dice: “ci sarà la radice di iesse, e uno che sorgerà per governare le nazioni; in lui le nazioni riporranno la loro speranza”. l’iddio che dà speranza vi riempia di ogni gioia e pace mediante il vostro credere, affinché abbondiate nella speranza col potere dello spirito santo.