Apprendre à traduire à partir d'exemples de traductions humaines.
Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
lakini wewe unapaswa kuhubiri mafundisho safi.
tu autem loquere quae decet sanam doctrina
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
baada ya kuhubiri ule ujumbe huko perga, walikwenda atalia.
et inde navigaverunt antiochiam unde erant traditi gratiae dei in opus quod conpleverun
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
halafu akawatuma waende kuhubiri ufalme wa mungu na kuponya wagonjwa.
et misit illos praedicare regnum dei et sanare infirmo
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
sisi, lakini, tutashughulika na sala na kazi ya kuhubiri neno la mungu."
nos vero orationi et ministerio verbi instantes erimu
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent
siku hizo yohane mbatizaji alitokea, akaanza kuhubiri katika jangwa la yudea:
in diebus autem illis venit iohannes baptista praedicans in deserto iudaea
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri
et fecit ut essent duodecim cum illo et ut mitteret eos praedicar
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
walipitia sehemu za frugia na galatia kwani roho mtakatifu hakuwaruhusu kuhubiri huo ujumbe mkoani asia.
transeuntes autem frygiam et galatiae regionem vetati sunt a sancto spiritu loqui verbum in asi
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
nilipofika troa kuhubiri habari njema ya kristo, nilikuta mlango u wazi kwa ajili ya kazi ya bwana.
cum venissem autem troadem propter evangelium christi et ostium mihi apertum esset in domin
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
wazee wanaowaongoza watu vizuri wanastahili kupata riziki maradufu, hasa wale wanaofanya bidii katika kuhubiri na kufundisha.
qui bene praesunt presbyteri duplici honore digni habeantur maxime qui laborant in verbo et doctrin
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani maandiko matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja.
dum venio adtende lectioni exhortationi doctrina
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
paulo na barnaba walibaki huko antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la bwana, pamoja na watu wengine wengi.
paulus autem et barnabas demorabantur antiochiae docentes et evangelizantes cum aliis pluribus verbum domin
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
kutoka kwangu mimi paulo, mtumishi wa kristo yesu, na mtume niliyeteuliwa na kuitwa kwa ajili ya kuhubiri habari njema ya mungu.
paulus servus christi iesu vocatus apostolus segregatus in evangelium de
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
baada ya sila na timotheo kuwasili kutoka makedonia, paulo alianza kutumia wakati wake wote kwa ajili ya kuhubiri, akawathibitishia wayahudi kwamba yesu ndiye kristo.
cum venissent autem de macedonia silas et timotheus instabat verbo paulus testificans iudaeis esse christum iesu
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
na kumtuma kwenu ndugu yetu timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya mungu katika kuhubiri habari njema ya kristo. tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
et misimus timotheum fratrem nostrum et ministrum dei in evangelio christi ad confirmandos vos et exhortandos pro fide vestr
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
yesu alikuwa anakwenda kila mahali wilayani galilaya, akifundisha katika masunagogi na kuhubiri habari njema juu ya ufalme wa mungu. aliponya kila namna ya maradhi na magonjwa waliyokuwa nayo watu.
et circumibat iesus totam galilaeam docens in synagogis eorum et praedicans evangelium regni et sanans omnem languorem et omnem infirmitatem in popul
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
lakini yeye akawaambia, "ninapaswa kuhubiri habari njema za ufalme wa mungu katika miji mingine pia, maana nilitumwa kwa ajili hiyo."
quibus ille ait quia et aliis civitatibus oportet me evangelizare regnum dei quia ideo missus su
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent
ila nilianza kuhubiri kwanza kwa watu wa damasko, halafu kwa wale wa yerusalemu na nchi yote ya yudea, na pia kwa watu wa mataifa mengine. niliwahimiza wamgeukie mungu na kuonyesha kwa vitendo kwamba wamebadilisha mioyo yao.
sed his qui sunt damasci primum et hierosolymis et in omnem regionem iudaeae et gentibus adnuntiabam ut paenitentiam agerent et converterentur ad deum digna paenitentiae opera faciente
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
watumwa ambao wakuu wao ni wakristo wasiwadharau kwani ni ndugu zao. badala yake, wanapaswa kuwatumikia hata vizuri zaidi, maana hao wanaopata faida kutokana na kazi yao ni waumini ambao wanawapenda. unapaswa kufundisha na kuhubiri mambo haya.
qui autem fideles habent dominos non contemnant quia fratres sunt sed magis serviant quia fideles sunt et dilecti qui beneficii participes sunt haec doce et exhortar
Dernière mise à jour : 2012-05-04
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :