Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
habari ya jambo hilo ikasikika kwa lile kanisa la yerusalemu. hivyo wakamtuma barnaba aende antiokia.
chegou a notícia destas coisas aos ouvidos da igreja em jerusalém; e enviaram barnabé a antioquia;
baada ya kuwaaga, hao wajumbe walielekea antiokia ambako waliita mkutano wa waumini, wakawapa hiyo barua.
então eles, tendo-se despedido, desceram a antioquia e, havendo reunido a assembléia, entregaram a carta.
paulo na barnaba walibaki huko antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la bwana, pamoja na watu wengine wengi.
mas paulo e barnabé demoraram-se em antioquia, ensinando e pregando com muitos outros a palavra do senhor.
kutoka huko walisafiri kwa meli wakarudi antiokia ambako hapo awali walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi wa neema ya mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameitimiza.
e dali navegaram para antioquia, donde tinham sido encomendados � graça de deus para a obra que acabavam de cumprir.
lakini baadhi ya waumini waliotoka kupro na kurene, walikwenda antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile habari njema juu ya bwana yesu.
havia, porém, entre eles alguns cíprios e cirenenses, os quais, entrando em antioquia, falaram também aos gregos, anunciando o senhor jesus.
kutokana na mateso yaliyotokea wakati stefano alipouawa, waumini walitawanyika. wengine walikwenda mpaka foinike, kupro na antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa wayahudi tu.
aqueles, pois, que foram dispersos pela tribulação suscitada por causa de estêvão, passaram até a fenícia, chipre e antioquia, não anunciando a ninguém a palavra, senão somente aos judeus.
kule ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule antiokia; paulo na barnaba walikwenda katika sunagogi la wayahudi wakaongea kwa uhodari hata wayahudi wengi na wagiriki wakawa waumini.
em icônio entraram juntos na sinagoga dos judeus e falaram de tal modo que creu uma grande multidão tanto de judeus como de gregos.
jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya paulo na barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa paulo na barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la antiokia waende yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
tendo paulo e barnabé contenda e não pequena discussão com eles, os irmãos resolveram que paulo e barnabé e mais alguns dentre eles subissem a jerusalém, aos apóstolos e aos anciãos, por causa desta questão.
wakawapa barua hii: "sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko antiokia, siria na kilikia.
e por intermédio deles escreveram o seguinte: os apóstolos e os anciãos, irmãos, aos irmãos dentre os gentios em antioquia, na síria e na cicília, saúde.
mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma antiokia pamoja na paulo na barnaba. basi, wakamchagua yuda aitwaye pia barsaba, na sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
então pareceu bem aos apóstolos e aos anciãos com toda a igreja escolher homens dentre eles e enviá-los a antioquia com paulo e barnabé, a saber: judas, chamado barsabás, e silas, homens influentes entre os irmãos.
alipompata, alimleta antiokia. nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. huko antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa wakristo.
e tendo-o achado, o levou para antioquia. e durante um ano inteiro reuniram-se naquela igreja e instruíram muita gente; e em antioquia os discípulos pela primeira vez foram chamados cristãos.
jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. wakawachagua stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na roho mtakatifu, filipo, prokoro, nikanora, timona, parmena na nikolao wa antiokia ambaye hapo awali alikuwa ameongokea dini ya kiyahudi.
o parecer agradou a todos, e elegeram a estevão, homem cheio de fé e do espírito santo, filipe, prócoro, nicanor, timão, pármenas, e nicolau, prosélito de antioquia,