Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
na hapana mnyama katika ardhi, wala ndege anaye ruka kwa mbawa zake mbili, ila ni umma kama nyinyi.
não existem seres alguns que andem sobre a terra, nem aves que voem, que não constituam nações semelhantes a vós.
na hakuna mnyama yoyote katika ardhi ila riziki yake iko kwa mwenyezi mungu. naye anajua makao yake na mapitio yake.
não existe criatura sobre a terra cujo sustento não dependa de deus; ele conhece a sua estância temporal e permanente, porque tudo está registrado num livro lúcido.
na mtakapo kuwa salama, basi mwenye kujistarehesha kwa kufanya umra kisha ndio akahiji, basi achinje mnyama aliye mwepesi kumpata.
entretanto, em condição de paz, aquele que realizar a umra antes da peregrinação, deverá, terminada esta, fazer uma oferenda daquilo que possa.
na itapo waangukia kauli juu yao, tutawatolea mnyama katika ardhi atakaye wasemeza, ya kuwa watu walikuwa hawana na yakini na ishara zetu.
e quando recair sobre eles a sentença, produzir-lhes-emos da terra uma besta, que lhe dirá: a verdade é que os humanosnão crêem nos nossos versículos!
na lau kuwa mwenyezi mungu angeli wachukulia watu kwa mujibu wa dhulma zao, basi asingeli mwacha hapa hata mnyama mmoja. lakini anawaakhirisha mpaka muda ulio wekwa.
se deus castigasse os humanos, por sua iniqüidade, não deixaria criatura alguma sobre a terra; porém, tolera-os até aotérmino prefixado.
na lau kuwa mwenyezi mungu angeli wachukulia watu kwa waliyo yachuma, basi asingeli muacha juu ya ardhi hata mnyama mmoja. lakini yeye anawachukulia mpaka ufike muda maalumu.
de sorte que se deus tivesse castigado os humanos pelo que cometeram, não teria deixado sobre a face da terra um sóser; porém, tolera-os até um término prefixado.
aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
e, por meio dos sinais que lhe foi permitido fazer na presença da besta, enganava os que habitavam sobre a terra e lhes dizia que fizessem uma imagem � besta que recebera a ferida da espada e vivia.
na tulipo mhukumia kufa, hapana aliye wajuulisha kufa kwake ila mnyama wa ardhi aliye kula fimbo yake. na alipo anguka majini walitambua lau kuwa wangeli jua ya ghaibu wasingeli kaa katika adhabu hiyo ya kufedhehesha.
e quando dispusemos sobre sua morte (de salomão), só se aperceberam dela em virtude dos cupins que lhe roíam ocajado; e quando tombou, os gênios souberam que, se estivessem de posse do incognoscível, não permaneceriam noafrontoso castigo.
moshi wa moto unaowatesa kupanda juu milele na milele. watu hao waliomwabudu huyo mnyama na sanamu yake, na kutiwa alama ya jina lake, hawatakuwa na nafuu yoyote usiku na mchana."
a fumaça do seu tormento sobe para todo o sempre; e não têm repouso nem de dia nem de noite os que adoram a besta e a sua imagem, nem aquele que recebe o sinal do seu nome.
watu wote wakaliabudu lile joka kwa sababu lilimpa huyo mnyama uwezo wake. wakamwabudu pia huyo mnyama wakisema, "nani aliye kama huyu mnyama? ni nani awezaye kupigana naye?"
e adoraram o dragão, porque deu � besta a sua autoridade; e adoraram a besta, dizendo: quem é semelhante � besta? quem poderá batalhar contra ela?
kisha, roho akanikumba, akaniongoza mpaka jangwani. huko nikamwona mwanamke ameketi juu ya mnyama mwekundu. mnyama huyo alikuwa ameandikwa kila mahali majina ya makufuru; alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
então ele me levou em espírito a um deserto; e vi uma mulher montada numa besta cor de escarlata, que estava cheia de nomes de blasfêmia, e que tinha sete cabeças e dez chifres.
mmeharimishiwa nyamafu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa si kwa ajili ya mwenyezi mungu, na aliye kufa kwa kunyongeka koo, na aliye kufa kwa kupigwa, na aliye kufa kwa kuanguka, na aliye kufa kwa kupigwa pembe, aliye liwa na mnyama, ila mkimdiriki kumchinja. na pia ni haramu kula nyama aliye chinjiwa masanamu.
estão-vos vedados: a carniça, o sangue, a carne de suíno e tudo o que tenha sido sacrificado com a invocação de outronome que não seja o de deus; os animais estrangulados, os vitimados a golpes, os mortos por causa de uma queda, ouchifrados, os abatidos por feras, salvo se conseguirdes sacrificá-los ritualmente; o (animal) que tenha sido sacrificado nosaltares (333).