Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
mvumo wa tarumbeta na sauti ya maneno. wale waliosikia sauti hiyo waliomba wasisikie tena neno jingine,
не к трубному звуку и гласу глаголов, который слышавшие просили, чтобы к ним более не было продолжаемо слово,
malaika wa pili akapiga tarumbeta yake. na kitu kama mlima mkubwa unaowaka moto ukatupwa baharini. theluthi moja ya bahari ikawa damu,
Второй Ангел вострубил, и как бы большая гора, пылающая огнем, низверглась в море; и третья частьморя сделалась кровью,
kisha malaika wa sita akapiga tarumbeta yake. nami nikasikia sauti moja kutoka katika pembe nne za madhabahu ya dhahabu iliyokuwa mbele ya mungu.
Шестой Ангел вострубил, и я услышал один голос от четырех рогов золотого жертвенника, стоящего пред Богом,
naye atawatuma malaika wake wenye tarumbeta la kuvuma sana, nao watawakusanya wateule wake kutoka pande zote nne za dunia, toka mwisho huu wa mbingu hadi mwisho huu.
и пошлет Ангелов Своих с трубою громогласною, и соберут избранных Его от четырех ветров, от края небес до края их.
kisha malaika wa tatu akapiga tarumbeta yake. na nyota kubwa ikiwaka kama bonge la moto, ikaanguka kutoka mbinguni, na kutua juu ya theluthi moja ya mito na chemchemi za maji.
Третий ангел вострубил, и упала с неба большая звезда, горящая подобно светильнику, и пала на третью часть рек и на источники вод.
maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya mungu, naye bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini kristo watafufuliwa kwanza.
потому что Сам Господь при возвещении, при гласе Архангела и трубе Божией, сойдет с неба, и мертвые во Христе воскреснут прежде;
kisha malaika wa saba akapiga tarumbeta yake. na sauti kuu zikasikika mbinguni zikisema, "sasa utawala juu ya ulimwengu ni wa bwana wetu na kristo wake. naye atatawala milele na milele!"
И седьмой Ангел вострубил, и раздались на небе громкие голоса, говорящие: царство мира соделалось царством Господа нашего и Христа Его, и будет царствовать во веки веков.
kisha nikatazama, nikasikia tai akiruka juu kabisa angani anasema kwa sauti kubwa, "ole, ole, ole kwa wanaoishi duniani wakati malaika watatu waliobaki watakapopiga tarumbeta zao!"
И видел я и слышал одного Ангела, летящего посреди неба и говорящего громким голосом: горе,горе, горе живущим на земле от остальных трубных голосовтрех Ангелов, которые будут трубить!
baada ya hayo nilitazama nikaona mlango umefunguliwa mbinguni. na ile sauti niliyoisikia pale awali ambayo ilikuwa kama sauti ya tarumbeta, ikasema, "njoo hapa juu nami nitakuonyesha mambo yatakayotukia baadaye."
После сего я взглянул, и вот, дверь отверста на небе, и прежний голос, который я слышал как бы звук трубы, говоривший со мною, сказал: взойди сюда, и покажу тебе, чему надлежит быть после сего.